Huyu mwanamke amejisingizia ana mimba ili anipige pesa?

Hemedy rashidy

JF-Expert Member
Oct 31, 2021
245
147
Kuna mwanamke nilikutana nae kwenye garii nilikaa siti ya mwisho kabisa upande wa kushoto na yeye pia alikaa siti ya mbele yangu tulikuwa kikundi cha Street tulikuwa tunaenda Beach.

Sasa tamaa za vijana sisi mtoto nilimuelewa kinoma yanii kweli nikachukua namba tukaenda Beach kila mtu alikuwa anaoga kivyake tukarudi home nikawa na chart nae kweli nili approach na akukubalii kesho yake.

Mtoto akaomba tuonane nikasema yes ndio navyo taka hivii kweli mtoto tukapanga sehemu ya kuonana, akasema Lodge nikasema sawa kweli tulionana Lodge mwisho siku nikaruka nae.

Hiyo siku kumbe sikujua yule mtoto kama alikuwa kwenye siku zake za hatarii au vipii nashangaa baada ya siku 3 sijuii 4 baada ya wiki nika mgonga tena baada ya hapo anasema hanielewii anahisi kutapika sijuii mwisho wa siku kupima kweli anasema ana mimba na mimi hapo sina chochote.

Akasema usijali tutasaidiana basi baada ya hapo visimu havishii vya uongo na kweli naumwa, mzee najikakamua nampatia pesa sasa mpaka sasa mimba ina miezi 4 na nipo nae mbali kidogo.

Namaanisha yupo mkoanii mimi nipo Dar kwahiyo nilikuwa nawasiliana nae video call namwambiaga nioneshe mwanangu anaendelea je ananionesha kitumbo kidogo kwakuwa sina uzoefu na mimba sijuii kama mimba kweli au laah kitu ambacho kimekuja kunistuwa ana post picha anavaa ma bel mashat na tumbo silionii kubwa maan sina uzoefu wa mimba lakini miezii 4 nahisii hata kitumbo kitaanza kujionesha.

Sasa topic hivii sasa hivii nikimpgia video call anani jibu anavyotaka yeye nikimwambia nioneshe mwanng hatakii anasema tuma buku 5 sasa mpaka nashtuka huyu mwanamke vipi amejisingizia ana mimba ili anipige pesa au nilimwambia una mimba kweli ana panic anasema mimba anayo tena yangu na nikimwambia nioneshe hatakii na mimi nipo Dar yeye yuko mkoanii.

Msaada wenu please waungwanaa kichwa chote kina stress 2 hapa🙏
 
Kuna mwanamke nilikutana nae kwenye garii nilikaa siti ya mwisho kabisa upande wa kushoto na yeye pia alikaa siti ya mbele yangu tulikuwa kikundi cha Street tulikuwa tunaenda Beach sasa tamaa za vijana sisi mtoto nilimuwelewa kinoma yanii kwer nikachukuwa namba tukaenda Beach kila mtu alikuwa anaoga kivyake tukaludii home nikawa na chart nae kwerii nili approach na akukubarii kesho yake mtoto akaomba tuonane nikasema yes ndo navyo taka hivii kwerii mtot tukapanga
Haya mambo ni magumu ndugu yangu. Ndo maana umeandika lisentensi limoja lirefu bila nukta koma wala kituo na kweriiii za kutosha.

Endelea kuhudumia hiyo mimba lakini pia jiandae kisaikolojia na ukweli kwamba anaweza akawa hana mimba au mimba ikawa siyo yako. Kwa sasa hudumia tu huku ukijua ni sadaka unatoa na ikitokea kuwa kweli ana mimba na hiyo mimba ni yako basi shukuru Mungu.
 
Haya mambo ni magumu ndugu yangu. Ndo maana umeandika lisentensi limoja lirefu bila nukta koma wala kituo na kweriiii za kutosha.

Endelea kuhudumia hiyo mimba lakini pia jiandae kisaikolojia na ukweli kwamba anaweza akawa hana mimba au mimba ikawa siyo yako. Kwa sasa hudumia tu huku ukijua ni sadaka unatoa na ikitokea kuwa kweli ana mimba na hiyo mimba ni yako basi shukuru Mungu.
Shukranii bro mdog wako napitia changamoto ambazo skuwaza kama ipo siku ntakutana nazo
 
Kuna mwanamke nilikutana nae kwenye garii nilikaa siti ya mwisho kabisa upande wa kushoto na yeye pia alikaa siti ya mbele yangu tulikuwa kikundi cha Street tulikuwa tunaenda Beach sasa tamaa za vijana sisi mtoto nilimuwelewa kinoma yanii kwer nikachukuwa namba tukaenda Beach kila mtu alikuwa anaoga kivyake tukaludii home nikawa na chart nae kwerii nili approach na akukubarii kesho yake mtoto akaomba tuonane nikasema yes ndo navyo taka hivii kwerii mtot tukapanga sehemu ya kuonana akasema Lodge nikasema sawa kwerii tulionana Lodge mwisho siku nikaluka nae hiyo siku kumbe skujuwa yule mtoto kama alikuwa kwenye siku zake za hatarii au vipii nashangaa baada ya siku 3 sijuii 4 baadaa ya wiki nika mgonga tena baadae ya hapo anasema hanielewii anahisi kutapika sijuii mwisho wa siku kupima kweri anasema ana mimba na mimi hapo sina chochote akasema usijari tutasaidiana basi baada ya hapo visimu havishii vya uong na kweri naumwa mzee najikakamua nampatia pesa sas mpaka sasa mimba ina miezii 4 na nipo nae mbali kidogo namaanisha yupo mkoanii mimi nipo dar kwaiyo nilikuwa nawasiliana nae video call namwambiaga nioneshe mwanng anaendelea je ananionesha kitumb kidogo kwakuwa sina uzoefu na mimba sijuii kama mimba kwerii au laah kitu ambacho kimekuja kunistuwa ana post picha anavaa ma bel mashat na tumbo silionii kubwa maan sina uzoefu wa mimba lakini miezii 4 nahisii hat kitumbo kitaanza kujionesha sasa topic hivii sasa hivii nikimpgia video call anani jibu anavyotaka yeye nikimwambia nioneshe mwanng hatakii anasema tuma buku 5 sasa mpka nastuka huyu mwanamke vipi amejisingizia ana mimba ili anipige pesa au nilimwambia una mimba kwerii ana panic anasema mimba anayo tena yangu na nikimwambia nioneshe hatakii na mimi nipo dar yeye yuko mkoanii msaada wenu please waungwanaa kichwa chote kina stress 2 hapa
soma hii


Mkojo wa mjamzito: Biashara nyingine ya siri isiyojulikana na wengi
 
Haya mambo ni magumu ndugu yangu. Ndo maana umeandika lisentensi limoja lirefu bila nukta koma wala kituo na kweriiii za kutosha.

Endelea kuhudumia hiyo mimba lakini pia jiandae kisaikolojia na ukweli kwamba anaweza akawa hana mimba au mimba ikawa siyo yako. Kwa sasa hudumia tu huku ukijua ni sadaka unatoa na ikitokea kuwa kweli ana mimba na hiyo mimba ni yako basi shukuru Mungu.
 
soma hii


Mkojo wa mjamzito: Biashara nyingine ya siri isiyojulikana na wengi
Kaka daaaah inawezekan huyu mtoto amenifnyia hivii kwerii
 
😅😅😅 mkuu nacheka kama mazuri hivi anyway.
Mimi ningekuwa wewe ningemfata huko huko huyo mchumba na kumpima kuhakikisha kama kwel maana ukimtumia nauli aje atakula tu.
 
Kwerii...Ndo nini?

Kwa uandishi huu,Unataka uitwe Baba?

Kwao wanakujua..? Au We unafikiri kadondoka Kutoka mawinguni?
 
Ndo unapata darasa la elimu dunia pole. Chukulia hayo matumizi uliyokuwa umahudumia ni karo
Kaka nilimpigiwa simu na bro wake saa 8 usiku dada tumbo linamuuma kwaiyo yupo hapa sijuii tunasaidian vipii nikamwammbia mdogo wangu tuliacha mapepe ngoja pakuche utampeleka hospital nilituma 40k asubh 2 kumbe bwana mwenyezi Mungu hamtupii mja wake kumbe kuna mwanng pale pale Street nikamshilikisha bhn shemj yako anaumw na hapa nilipo nimetumia 40k aende hospital daah mwanng alinilaumu sana kwa nini hauku niambia demu yule jaw ndo mipigo yake yake daah kaka tangu hapo dem nikawa simuaminii yapo kuwa ana mimba hapo lkn nikajipa moy mbelenii itafahamika 2.
 
Back
Top Bottom