Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Ni kama mwaka mmoja na nusu sasa umeshapita huyu demu Nilikuwa na mahusiano nae na hata papuchi nilishakula ila tatizo ni kwamba enzi zile nilitaka nivute jiko niweke ndani kwa sababu ya kuvutiwa nae tu kwenye baadhi ya mambo ila ile siku namwambia alinijibu kwamba hawezi kuwa na mume muuza kiepe tena kwa nyodo, nilichomwambia ni kwamba avumilie ipo siku mambo yatakuwa safii,
Alichonijibu ni kwamba alipokuwa mdogo alishaishi kwenye tabu hivyo hataki pia ukubwani kwake aje kuishi kwa tabu,
Stutus yake huyu binti;
_Miaka 27 mpaka mwezi wa 3 anafikisha 28,
_Elimu kidato cha nne,
_Anaishi kwa dada yake siyo wa damu ni yule wa kukutana nae ukubwani na kusaidiana.
Sikumjibu chochote mpaka sasa japo baada ya mambo yangu kuanza kukaa poa flani hivi naona anaanza kujigonga gonga tena kwa kasi ya ajabu sasa nimepanga kumfanyia suprise ya hajabu mwaka huu,
Tayari nimeshamuandaa mama watoto wangu ambae ni mkali kumzidi mwezi wa tatu siku ya happybirthday yangu nataka nimvishe pete ya uchumba nitafanya sherehe ndogo tu ila lazima nitoe mualiko kwake pamoja na baadhi ya majirani waje kushuhudia.
Alafu baada ya hapo hatoamini nitakachoenda kukifanya ili nimuonyeshe kwamba hakuna mwanaume maskini wote tuna pesa tunachotofautiana ni wakati wa kuzimiliki tu,
Cc Zero IQ.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alichonijibu ni kwamba alipokuwa mdogo alishaishi kwenye tabu hivyo hataki pia ukubwani kwake aje kuishi kwa tabu,
Stutus yake huyu binti;
_Miaka 27 mpaka mwezi wa 3 anafikisha 28,
_Elimu kidato cha nne,
_Anaishi kwa dada yake siyo wa damu ni yule wa kukutana nae ukubwani na kusaidiana.
Sikumjibu chochote mpaka sasa japo baada ya mambo yangu kuanza kukaa poa flani hivi naona anaanza kujigonga gonga tena kwa kasi ya ajabu sasa nimepanga kumfanyia suprise ya hajabu mwaka huu,
Tayari nimeshamuandaa mama watoto wangu ambae ni mkali kumzidi mwezi wa tatu siku ya happybirthday yangu nataka nimvishe pete ya uchumba nitafanya sherehe ndogo tu ila lazima nitoe mualiko kwake pamoja na baadhi ya majirani waje kushuhudia.
Alafu baada ya hapo hatoamini nitakachoenda kukifanya ili nimuonyeshe kwamba hakuna mwanaume maskini wote tuna pesa tunachotofautiana ni wakati wa kuzimiliki tu,
Cc Zero IQ.
Sent using Jamii Forums mobile app