Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,165
- 85,182
Wakuu, misianzi na maelezo meengi. Naamini muwazima.
Kuna dada moja naomba nimpe jina Qeen, huyumdada tulikua wapenzi kuanzia 2007 na pia tulikua tunafanyakazi wote kampuni moja. 2009 may nimetoka likizo aliniita chumbani kwake na akaniambia kiupole kabisa kwamba ameamua tuachane, kwangu ilokua ngumu kuamini kwani sikutegemea, pia tulikua tunapendana sana na Qeen. Ilinibidi nikubaliane na maamuzi yake kwa shingo upande kwa makubaliano yakwamba yeyote katiyetu asijihusishe na mahusiano kwenye kampuni ile. Baada ya mwezi moja, nikaanza kuskia fununu kwamba Qeen anatoka na rafikiyangu wa ndani ya kampuni na jamaa huonekana kila asubuhi akitokea chumbani kwa Qeen, hakika hiikitu ilinistua na kinikosesha raha. Niliamua kumpigia sim na kumuuliza, jibu alilonipa lilinichanganya na presure ilipanda na kupoteza fahamu.
Nililazwa kwenye hosiptali ya pale kazini hadi nilipo pata nafuu. Nilipotoka ndio nikakuta Qeen na rafikiyangu wameamua kuweka mapendo hadharani, kitendokile kiliniumiza sana. Ghafla niliamua kuwa mlevi wa kupindukia, hali iliyopelekea utendaji wangu kushuka na kuwa mtoro kazini hata pale nilipo onywa. Hakika nilichanganyikiwa na ile hali ilijulikana kwa kila mfanyakazi hadi kwa meneja mkuu, na matokeoyake nikafukuzwa kazi.
Nilirudi mtaani, nikasota sana, nikapigika sana, nilipinda, maisha yalinichapa, marafiki ealinikimbia na ndugu, jamaa na marafiki waliniita kichaa.
Baada ya kuanza kumsahau Qeen, niliamua kuuza gari langu lililopaki kwa kukosa huduma na pia nikauza baadhi ya vitu vya ndani pamoja na thamani. Nilinunua nguo na baadhi ya vitu vilivyo nifanya niridi kwenye muonekano wa unadhifu, ndipo nikaanza kutafuta kazi kwa bidii na namna zote na pia sikuchagua kazi kwa kipindi hicho.
Mungu alinijalia nikapata kazi nzuri na hadi dunia ilishangaa namna nilivyo ipata kazi hii yenye mshahara mnono mara 5 zaidi ya pale nilipo fukuzwa.
Mungu alovyo wa ajabu, kamleta Qeen. Huyu dada ananisumbua kwa kilanamna ya mawasiliano, ansomba turudiane na nimsamehe kwani ni shetani tu alimpitia. NIMEJISKIA HASIRA HATA NASHINDWA NIGANYE NINI MAANA NINAPATA USUMBUFU USIO KIFANI NA KUNIKUMBUSHA MAISHA MABOVU ALONISABABISHIA.
My Take: Wadada acheni kuwatenda wanaume ambao wanawapenda kwa dhati.
Na nimeona niwaletee wanajamvi pia tujofunze kutomuumiza yule akuoendae kwa dhati.
Kuna dada moja naomba nimpe jina Qeen, huyumdada tulikua wapenzi kuanzia 2007 na pia tulikua tunafanyakazi wote kampuni moja. 2009 may nimetoka likizo aliniita chumbani kwake na akaniambia kiupole kabisa kwamba ameamua tuachane, kwangu ilokua ngumu kuamini kwani sikutegemea, pia tulikua tunapendana sana na Qeen. Ilinibidi nikubaliane na maamuzi yake kwa shingo upande kwa makubaliano yakwamba yeyote katiyetu asijihusishe na mahusiano kwenye kampuni ile. Baada ya mwezi moja, nikaanza kuskia fununu kwamba Qeen anatoka na rafikiyangu wa ndani ya kampuni na jamaa huonekana kila asubuhi akitokea chumbani kwa Qeen, hakika hiikitu ilinistua na kinikosesha raha. Niliamua kumpigia sim na kumuuliza, jibu alilonipa lilinichanganya na presure ilipanda na kupoteza fahamu.
Nililazwa kwenye hosiptali ya pale kazini hadi nilipo pata nafuu. Nilipotoka ndio nikakuta Qeen na rafikiyangu wameamua kuweka mapendo hadharani, kitendokile kiliniumiza sana. Ghafla niliamua kuwa mlevi wa kupindukia, hali iliyopelekea utendaji wangu kushuka na kuwa mtoro kazini hata pale nilipo onywa. Hakika nilichanganyikiwa na ile hali ilijulikana kwa kila mfanyakazi hadi kwa meneja mkuu, na matokeoyake nikafukuzwa kazi.
Nilirudi mtaani, nikasota sana, nikapigika sana, nilipinda, maisha yalinichapa, marafiki ealinikimbia na ndugu, jamaa na marafiki waliniita kichaa.
Baada ya kuanza kumsahau Qeen, niliamua kuuza gari langu lililopaki kwa kukosa huduma na pia nikauza baadhi ya vitu vya ndani pamoja na thamani. Nilinunua nguo na baadhi ya vitu vilivyo nifanya niridi kwenye muonekano wa unadhifu, ndipo nikaanza kutafuta kazi kwa bidii na namna zote na pia sikuchagua kazi kwa kipindi hicho.
Mungu alinijalia nikapata kazi nzuri na hadi dunia ilishangaa namna nilivyo ipata kazi hii yenye mshahara mnono mara 5 zaidi ya pale nilipo fukuzwa.
Mungu alovyo wa ajabu, kamleta Qeen. Huyu dada ananisumbua kwa kilanamna ya mawasiliano, ansomba turudiane na nimsamehe kwani ni shetani tu alimpitia. NIMEJISKIA HASIRA HATA NASHINDWA NIGANYE NINI MAANA NINAPATA USUMBUFU USIO KIFANI NA KUNIKUMBUSHA MAISHA MABOVU ALONISABABISHIA.
My Take: Wadada acheni kuwatenda wanaume ambao wanawapenda kwa dhati.
Na nimeona niwaletee wanajamvi pia tujofunze kutomuumiza yule akuoendae kwa dhati.