LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,145
- 11,191
Ni member ambae nilifahamiana nae miezi minne iliyopita na nlifahamiana nae kupitia jf doctor kuna kipindi nliweka ushuhuda wa acid reflux ilivyonisumbua na njia nlizotumia kupambana nazo basi ndio akanitafuta nimpe mawili matatu kwani nae alikuwa na tatizo kama hilo bas tukawa tunawasiliana mdogo mdogo
Baada ya mda kupita mwezi uliopita wa pili mwanzoni kama tarehe 4 nakumbuka,akanipigia sim ya gafla mda huo nlikuwa kwenye piki piki, nikashindwa kupokea baada ya kushuka akapiga tena akiwa ana jazba akitaka nimsaidie kumpa mawili matatu huhusu changamoto mpya aliyokuwa anapitia
Akaniambia kuwa anachangamoto ya upumuaji na anapitia kipindi kigumi sana ikiwemo baadhi ya sehem kuanzia mkononi kufa ganzi hadi mguuni na kifua kubana, akaniomba kama nna ufaham nimshauri afanye nini, kwa upande wangu yale yale tuliyokuwa tunaambiwa na wataalam wetu ndio nliyokuwa namuelekeza, kama kula vyakula vyenye vitami kwa wingi, mazoezi ,mchanganyo wetu ule wa nimri na nikamuhusia asisahau kusali mara kwa mar
Nikawa namjulia hali , kuanzia kipindi hicho akawa anasema haoni dalili ya kupona nikazidi kumpa moyo kuwa asikate tamaa , azidi kupambana na amuombe mungu
Lakini kitu kinachonipa wasi wasi ni kuanzia tarehe kumi na sita mwezi wa pili 16/02/2021 ndio mara ya mwisho kuwasiliana nae na kunijibu text ya mwisho saa kumi jioni
hadi leo namba yake nikipiga inaita tu haipokelewi na si kawaida , kama yupo mahututi or something else sijui kwa kweli, laiti ningefahamiana na mtu mwingine wa karibu yake ningeweza kujua hali yake or nini kimemkuta
Nasikikita but kama bado yupo hai mola ampiganie na wote tumuombee
NOTE
Nilijaribu kutumia namba nyingine ya dada yangu ambayo sikuwahi kuitumia kuwasiliana nae alivyopiga haikupokelewa hadi leo..
Tumuombee...
Baada ya mda kupita mwezi uliopita wa pili mwanzoni kama tarehe 4 nakumbuka,akanipigia sim ya gafla mda huo nlikuwa kwenye piki piki, nikashindwa kupokea baada ya kushuka akapiga tena akiwa ana jazba akitaka nimsaidie kumpa mawili matatu huhusu changamoto mpya aliyokuwa anapitia
Akaniambia kuwa anachangamoto ya upumuaji na anapitia kipindi kigumi sana ikiwemo baadhi ya sehem kuanzia mkononi kufa ganzi hadi mguuni na kifua kubana, akaniomba kama nna ufaham nimshauri afanye nini, kwa upande wangu yale yale tuliyokuwa tunaambiwa na wataalam wetu ndio nliyokuwa namuelekeza, kama kula vyakula vyenye vitami kwa wingi, mazoezi ,mchanganyo wetu ule wa nimri na nikamuhusia asisahau kusali mara kwa mar
Nikawa namjulia hali , kuanzia kipindi hicho akawa anasema haoni dalili ya kupona nikazidi kumpa moyo kuwa asikate tamaa , azidi kupambana na amuombe mungu
Lakini kitu kinachonipa wasi wasi ni kuanzia tarehe kumi na sita mwezi wa pili 16/02/2021 ndio mara ya mwisho kuwasiliana nae na kunijibu text ya mwisho saa kumi jioni
hadi leo namba yake nikipiga inaita tu haipokelewi na si kawaida , kama yupo mahututi or something else sijui kwa kweli, laiti ningefahamiana na mtu mwingine wa karibu yake ningeweza kujua hali yake or nini kimemkuta
Nasikikita but kama bado yupo hai mola ampiganie na wote tumuombee
NOTE
Nilijaribu kutumia namba nyingine ya dada yangu ambayo sikuwahi kuitumia kuwasiliana nae alivyopiga haikupokelewa hadi leo..
Tumuombee...