Hiyo ni unamuambia mshkaji wako "Ebwana nimepiga (ingiza jina la kike) juzi" halafu mshkaji wako anaropoka huku kashika kichwa "Mzee mpaka yule umepiga!!?" Unamuangalia kwa mshangao huku mdomo upo wazi na sura inaashiria lile swali la "Bro did I fvck up? Again?" Kisha anamalizia "Yule bwana ake si (ingiza jina la kiume) yule mwana ana ngoma mbona kitambo?"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.