kajekudya
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 2,469
- 4,904
Huyu Mwamba, Benard Camilius Membe, huyu jamaa akiwa foreign Minister, kijana aliyekulia ndani ya kitengo, akiwa na mabilioni ya Gaddafi na maconnection kibao ndani hadi kwa Mabeberu, alitumia almost miaka mitano ya mwisho ya utawala wa J.K kujiandaa kuukwa Urais wa Jamhuri lakini hata kwenye tatu bora hakuingia.
Hili tu linatosha kutoa picha kuwa jamaa ni mwepesi zaidi ya unyoya.
Sasa juzi kaja na porojo, oooooh niguse ninuke, haaa! Wanaume wakaamua kumtia vidole mtandaoni kabisa, hakutoa halufu yoyote!
Ushauri wangu wenye nia ya kumchallenge Uncle angalau apate kajoto kwa mbaaaali( In Paskal's Voice) wasipotezwe na huyu Mwamba, Ni nyoka wa Kibisa as always.
Hili tu linatosha kutoa picha kuwa jamaa ni mwepesi zaidi ya unyoya.
Sasa juzi kaja na porojo, oooooh niguse ninuke, haaa! Wanaume wakaamua kumtia vidole mtandaoni kabisa, hakutoa halufu yoyote!
Ushauri wangu wenye nia ya kumchallenge Uncle angalau apate kajoto kwa mbaaaali( In Paskal's Voice) wasipotezwe na huyu Mwamba, Ni nyoka wa Kibisa as always.