Umeniacha hoi😂😂Jama anampa maelezo padri"Binti alikua anatembea tembea barabarani akateleza akaangukia uume wa yule kijana ukamchoma ukapitila hadi tumboni,binti akapata mimba"
padri kashika kichwa"hayaaa huyo kijana anashabaha mungu wangu"
una maana gani sijaelewa...Anamwambia kua siku Ile usiku hakuvamiwa ila alianguka sababu alikua amelewa chakar
Wewe ni geniusJamaa anampa maelezo padri "Binti alikua anatembea tembea barabarani akateleza akaangukia uume wa yule kijana ukamchoma ukapitila hadi tumboni, binti akapata mimba"
Padri kashika kichwa "hayaaa huyo kijana anashabaha mungu wangu"
movie gani hiyo tukai idowmloadAnanikumbusha jamaa anaitwa grayman,kila akiuwa,anakuja kuungama kwa kasisi,
Kumbe kasisi nae ni broker,yaani kama mtu anatafuta gun for hire, yule kasisi ndo anaconect,kiufupi kasisi alikuwa anafanya kazi za CIA, sasa CIA walikuwa wanamsaka huyu Grayman kumuua baada ya kuasi kambi
Kwahiyo kasisi akamchoma grayman kwa CIA, ikatumwa team ya SAD toka marekani kwa private jet mpaka Italy ndani ndani alipokuwa kajificha grayman kwenye safe house yake
So grayman hajui hili wala lile akastukia team ya cia imetia timu,sema alikua mkali wao, akawafyeka wote, then akakumbuka mtu pekee aliemwambia location yake ni yule kasisi, basi Grayman akaconclude kuwa kasisi ndie kamsinitch kwa CIA,
Akarudi church, akamkuta kasusi,
"Karibu mwanangu,umekuja tena kuungama?"
"Yes, father, i just come from killing some people's, so here am father, i have sinned and to top it,, before l leave here, i have to kill you cause you snitched me to the CIA wet team, you the only one who knew where to locate me, you are going to die father"...
Kasisi, akashika kichwa kwa mawazo, huku grayman nae akiwa amejaa masikitiko,