Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,753
Analilia likes na comments za wadada...Kinachokuuma hapo sikioni kabisa mkuu.
Tatizo nini sasa..!?
Analilia likes na comments za wadada...Kinachokuuma hapo sikioni kabisa mkuu.
Tatizo nini sasa..!?
Legendary hahaHizi sukari za warembo nyingi huishia kuramba midomo na kutinda nyusi na kujipodoa
kwan vibaka wa k/koo wananusa mtu mwenye hela? LolTafuta hela mademu wanajua kunusa mtu mwenye hela kama vibaka wa Kariakoo
Tough wallet inajulikana ndio sukari ya warembokwan vibaka wa k/koo wananusa mtu mwenye hela? Lol
Huhuhuhuhuh kweli aseeeeehTough wallet inajulikana ndio sukari ya warembo