bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
Wapendwa kule instagram kuna account inaitwa "the best shooter tz". Imekuwa ikitoa kauli za kumtishia kifo Mh.Tundu lisu. Katika post nyingi zinazotumwa na account za chadema kama hii utaona account hii ikipost kwa maneno haya, nanukuu "Tundu lisu lazima tumpoteze, risasi nyingime zinamsubiri, labda asirudi huku tanzania".
# Najiuliza account hii fake inapata wapi ujasiri wa kusema hivi na kuamini kuwa haitoweza kukamatwa???
Sent using Jamii Forums mobile app
# Najiuliza account hii fake inapata wapi ujasiri wa kusema hivi na kuamini kuwa haitoweza kukamatwa???
Sent using Jamii Forums mobile app