Acha wanakuja kukushambulia sasa hivi mkuu makolokolo!
Hivi Viposti vyake vinamshusha thamani huyu jamaa, anajianika Kuwa thinking Capacity yake ni ndogo sana.... ! Inashangaza kuwa na yeye kuna kipindi aliutaka Uraisi Wa TFF.
wewe subiri kwa utulivu wanakuja makolokolo!Wamtafute huyo mtu wamalizane nae hukohuko. Mimi nimewawekea mawazo yake
wewe subiri kwa utulivu wanakuja makolokolo!
Oscar afanyaga masihara tu,kama kuna mtu anamchukulia serious yeye ndo atapata taabu.Hivi Viposti vyake vinamshusha thamani huyu jamaa, anajianika Kuwa thinking Capacity yake ni ndogo sana.... ! Inashangaza kuwa na yeye kuna kipindi aliutaka Uraisi Wa TFF.
Anajichetua makusudi ili kupata attention ya watu km wewe na kwa hilo namsifu amewakamata watu wengi sanaHivi Viposti vyake vinamshusha thamani huyu jamaa, anajianika Kuwa thinking Capacity yake ni ndogo sana.... ! Inashangaza kuwa na yeye kuna kipindi aliutaka Uraisi Wa TFF.
Huyo nae kama mchepuko tuu kambi popote
Uyo yanga lialia.na hajifichagi.alifukuzwa kazi Azam kwa sababu ya game ya Azam na yanga.azam ilipopata Gori.alijisahau akashangilia mbele ya ma boss.NI YANGA LIA LIA UYOAnafanya masihara tu Instagram ila kwenye kipindi akichambua utadhani siyo yeye. Bado sijajua upande wake maana kila upande yupo na anashambulia kila upande vile vile.
But mi posts zake zinanifurahisha
Simwelewagi huyu jamaaHivi Viposti vyake vinamshusha thamani huyu jamaa, anajianika Kuwa thinking Capacity yake ni ndogo sana.... ! Inashangaza kuwa na yeye kuna kipindi aliutaka Uraisi Wa TFF.
Rudia kusoma comment yakoUyo yanga lialia.na hajifichagi.alifukuzwa kazi Azam kwa sababu ya game ya Azam na yanga.azam ilipopata Gori.alijisahau akashangilia mbele ya ma boss.NI YANGA LIA LIA UYO
Naunga mkono na miguu hoja.Huyu muwe mnapost jukwaa la jokes