GwamahalaJR
JF-Expert Member
- Jul 18, 2019
- 415
- 767
Toka vyama vingi vianze, huyu ndiyo mgombea halisi wa upinzani. Yeye ni no compromise, mambo ya kumleta TB Joshua kwa huyu wasahau.Maybe ni mgeni kwenye siasa
Mrema alikuwa amepandikizwa tu so ccm walikuwa wanajua nn kinafanyika
Lowassa still alikuwa ni Mwanaccm Tena ambae 80% ya maisha yake katumikia Chama
Lisu hajawahi kabisa kuwa ccm
Keshasema hamuachii Mungu!