paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,504
- 3,499
Kuna watu hutokea duniani kazi Yao siyo kuwa Viongozi wakubwa, mf Ndg Malema wa SA, ndug Prof Lumumba Kenya, Ndg Wine Uganda n.k
kazi Yao ni uanaharakati ndio inawafaa, na hata wa kwetu Yuko kwenye kundi hilohilo, kuchangamsha watawala, Uraisi ni kuwaonea. Watavurunda Asubuhi na mapema
kazi Yao ni uanaharakati ndio inawafaa, na hata wa kwetu Yuko kwenye kundi hilohilo, kuchangamsha watawala, Uraisi ni kuwaonea. Watavurunda Asubuhi na mapema