jamaa huyu alikutwa kwenye mitaa fulani huko londoni akiwa ameshika hizo silaha ambazo kwetu bongo hatujali hata kama mtu anaziuza mitaani uskiku akisema za kunyolea. Ni hatari wakiuziwa watu kama hawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.