Huyu mtoto wanazidi kumkomaza, ataleta madhara yasiyotarajiwa

Tatizo huyo mtoto anameshazijua siri nyingi za baba na baba anaogopa kumtimua kwenye familia hivyo labda baba mwenyewe amuue sio kumtimua
 
I wonder the work of TISS

Sent using Jamii Forums mobile app

Inafahamika mpo kazini!
Kazi "ya kulilinda taifa" dhidi ya "genge la wahalifu" lililosajiliwa kwa mujibu wa sheria za JMT.
Hivi kwann nguvu kubwa na rasilimali zetu ziwe zinatumika kupambana na hao wahalifu ilihali tunaweza tu kutumia sheria tukawafutia usajili? Hizi nguvu na rasilimali tukazielekeza mahali pengine kuleta maendeleo.Waambie ofisi yenu MUNGU hapendi, yana mwisho
 
Lakini mlezi an mipango mizuri wakati flani, kijana mkubwa na wenzake wangetuambia wao wakipewa kuilea familiia hii wataifanyia nini.
 
Inafahamika mpo kazini!
Kazi "ya kulilinda taifa" dhidi ya "genge la wahalifu" lililosajiliwa kwa mujibu wa sheria za JMT.
Hivi kwann nguvu kubwa na rasilimali zetu ziwe zinatumika kupambana na hao wahalifu ilihali tunaweza tu kutumia sheria tukawafutia usajili? Hizi nguvu na rasilimali tukazielekeza mahali pengine kuleta maendeleo.Waambie ofisi yenu MUNGU hapendi, yana mwisho
We jamaa kwa hiyo unahisi mimi TISS

HAHAHA dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kila mtoto asiye na hekima wazazi wake hawakuwa na hekima vivo hivyo si kila mtoto mwenye hekima wazazi wake wana hekima.
Bila shaka, ila hoja hapa asilimia kubwa ya mtoto jinsi alivyo inatokana na malezi ya mzazi, taasisi ya kwanza ya makuzi ni familia na mwalimu wa kwanza ni mzazi ama mlezi kabla ya yule wa chekechea ama mwingine yoyote.

Kutarajia ati mtoto awe na hekima ilihali mzazi ni mshezi ni suala la bahati nasibu tu, ila kiuhakika bila kubahatisha, hekima huzaa hekima kama ambavyo ilivyoandikwa kwenye vitabu chuma hunoa chuma.
 
Back
Top Bottom