Huyu mtoto wa shemeji yangu katuacha hoi

iMind

JF-Expert Member
Mar 27, 2011
2,871
4,263
Tuko kwenye hafla ya kifamilia ya kuukaridha mwaka mpya. Baada ya kula sasa ni vinywaji tu vinaendelea.

Baada ya nyimbo mbili tatu kupigwa ndipo huyu mtoto akaibuka anasema kwa sauti kubwa. Mjomba weka mziki wa mbololo....akimaanisha ngololo. Halafu akaendelea kurudia mara kadhaa kuonyedha msisitizo. Mjombaa weka mbololo basi ahh. Watu wamecheka duu
 
duh! hata hapa home ilitokea during xmass, kila mtu akajifanya hajjasikia ombi la mpwa..., aiseee!!
 
Back
Top Bottom