WABALLA Inc
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 2,711
- 1,015
Tasnia ya utangazaji wa radio kinachohusika ni sauti.Sasa nyie TBC Fm huyu mtangazaji wenu anaumwa kifua/kikohozi mpaka sauti haitoki vizuri,hamuoni mnakosea?Hakuna mbadala wa mtangazaji mwingine amshikie kipindi?