Tushfutshtar
Senior Member
- Dec 30, 2017
- 117
- 111
Huyu dada tumekutana nikampenda kwa dhati na nina malengo mazuri na yeye. Nashukuru alinipa ushirikiano hadi sasa tunaendelea kuwasiliana vizuri. Mm kama MTU ambae nimepitia mabinti wengi huko zamani sikuhitaji na yeye huyu niwe mpitaji kwake,sasa cha ajabu nlilipata taarifa za uhakika toka kwa MTU wake wa karibu akidai tangu niwe naye sijawahi kumuomba tuvunje amri ya 6,akaongeza kusema haamini kama Niko sawa (huenda jogoo hawiki). Hoja yake ni kuwa sio kawaida kwa wanaume.
Hii taarifa imenishtua sana nikaamua kumpigia simu nikamuomba faragha cha ajabu karuka mita maelfu, anadai kwanza hakutegemea kitu kama hicho maana anaamini mda bado japo ananipenda sana. Sina shaka na taarifa hiyo sababu nimefatilia nimeona kuna ukweli.
Ushauri; Kwa faida ya wadada wengine, muwe na subira mwanaume anaweza kutumia mbinu nyingi sana kumpima mwanamke anaejielewa. Sio kwamba kwa kuwa kila mwanaume anaekutongoza anaomba mchezo mkajua ni wote na kwamba asieomba ni kama bwege fulani hivi. Daaah nimeshangaa sana.
Wanaume wenzangu jambo hili nimebugi ? Au Dada ndo anataka kubugi maana anaelekea kunidharau. Na mm nimeanza kushuka imani nahisi anafaa kutumika tu huyu arafu nimbwage.
Jioni njema nyote.
Hii taarifa imenishtua sana nikaamua kumpigia simu nikamuomba faragha cha ajabu karuka mita maelfu, anadai kwanza hakutegemea kitu kama hicho maana anaamini mda bado japo ananipenda sana. Sina shaka na taarifa hiyo sababu nimefatilia nimeona kuna ukweli.
Ushauri; Kwa faida ya wadada wengine, muwe na subira mwanaume anaweza kutumia mbinu nyingi sana kumpima mwanamke anaejielewa. Sio kwamba kwa kuwa kila mwanaume anaekutongoza anaomba mchezo mkajua ni wote na kwamba asieomba ni kama bwege fulani hivi. Daaah nimeshangaa sana.
Wanaume wenzangu jambo hili nimebugi ? Au Dada ndo anataka kubugi maana anaelekea kunidharau. Na mm nimeanza kushuka imani nahisi anafaa kutumika tu huyu arafu nimbwage.
Jioni njema nyote.