Tushfutshtar
Senior Member
- Dec 30, 2017
- 117
- 111
- Thread starter
- #21
Aisee,ahsante sana kwa ku-share na mm experience kama hiyo! Nimetoka na kitu hapa bila shaka kitanisaidia sana.Broo Tushfutshtar wala hujabugi inawezekana ni stori za mashosti tu hizo wakishiba chips huwa wanapeana lakini hawamaanishi, dada mmoja aliwahi kuniuliza hio tshirt yako umenunua wapi na mimi nimnunulie yule taahira wangu? hakuwa anamaanisha maana boyfriend wake hakuwa taahira mara ooooh mtu wenyewe wala hajawahi kuniomba kitumbua.. huwa ni story tu stick with your plans kaka.
Ahsante sana ndg Dharra.