Zero Competition
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 310
- 451
Chapa ilale tu ila usiwe serious nae, atakuja kukuumiza huyo baadae mana hao viumbe wanabadilika kama vinyonga.Kula tunda then mpotezee usijenge kibanda mana kwasasa unamuona mzuri sababu bado hujamlala ila ukishamlala mara moja au mara mbili utamuona ni wakawaida tu na kama unavyojua thamani ya hawa viumbe ni kabla hujawavua pichu, ukishamvua tu ndo basi tena hana issue.Kweli lakin nitafanyaje?