Bacary Superior
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 3,722
- 1,511
duh unataka usaidie nini?
Confused confuser...Nipo kwenye mahusiano na mrembo takribani miezi sita hivi.huwa anakuja kwangu nakuspendi nights.Kinachonishangaza sana nikwamba juzi kati amekorofishana na baba ake na ameamua kwenda kukaa na rafiki yake hostel. Hana kazi na wala biashara. Sijajua sababu yakwenda hostel coz at times she depend on me. Sielewi jamani kwa nn ameamua hivi na sitaki kumuacha coz she is so sweet.
HahahahahahahLabda baba yake yupo jf jamani msameheni bure
Kila siku zinavyokwenda wanaume tunaidi kupoteza uwezo wa kufikiri.
Bora uwe na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kuliko kuwa na tatizo la upungufu wa kufikiri.
Sasa ukose kipi hapoMmmh, hamna bora hapo.
Bora kukosa mtu mwenyewe kabisaSasa ukose kipi hapo
Ninyi ni wapumbafu wote wabeya , wanafiki na wazinfakiNipo kwenye mahusiano na mrembo takribani miezi sita hivi.huwa anakuja kwangu nakuspendi nights.Kinachonishangaza sana nikwamba juzi kati amekorofishana na baba ake na ameamua kwenda kukaa na rafiki yake hostel. Hana kazi na wala biashara. Sijajua sababu yakwenda hostel coz at times she depend on me. Sielewi jamani kwa nn ameamua hivi na sitaki kumuacha coz she is so sweet.
Huu upupu peleka kule Facebook maana hata hueleweki unataka nini?!