Sawa bhana!!, Kumbuka hao wamekalia pesa.Pesa zinatafutwa hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
PiskaliKama kichwa cha habari kinavyodai, kwa yeyote ambaye anaweza niunganisha na huyu mwanamama anayemlinda Mh. Rais naomba aweze kunipa connection ni wapi nitampata amekuwa akinivutia sana jinsi anavyotekeleza majukumu yake ya kiusalama kwa Mama yetu.
Nipo tayari kumpa shamba langu la urithi la michungwa mtu yoyote ambaye ataweza nipatia mawasiliano yake, kama sio mawasiliano yake basi kunikutanisha nae tu inatosha kabisa.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
NB: Mlinzi ni huyo mdada aliyesimama upande wa kulia wa mama, na kama bado hajaolewa niko tayari kumfanya mke wa pili.
View attachment 1978940View attachment 1978958
..Ulitaka kuandika 'Hawapatikani' hao...ama ni kweli 'Hawatikagi' hao.?...Hawakatikagi hao.
Naam...Ulitaka kuandika 'Hawapatikani' hao...ama ni kweli 'Hawatikagi' hao.?...
Ulifanikiwa kumpata huyo Veronica mkuu?View attachment 1998440Mpendwa wangu huyo hapo kang’aa kwelikweli…
Kuna misamiati umeitumia sidhani kama ni mizuri,"chura yake imekua standard",fikiri huyu ni mama yako anaandikwa hivi mtandaoni ungejisikiaje?Nipe connection mkuu, huyu mdada ndio mtu pekee ambaye amenifanya niwe nafuatilia ziara za mama, huwa ananikosha sana.
Tangu awe mlinzi wa mama chura yake imekuwa standard, ngozi imenawiri vyema ana sifa zote za kuwa mke wa pili