Huyu mlinzi wa Rais Samia Suluhu Hassan ananivutia sana

@mexmelo kaka hatupendi uende jela tena kwa heshima na taadhima futa huu uzi kuna kitu kina endelea sio kizuri
 
Kama kichwa cha habari kinavyodai, kwa yeyote ambaye anaweza niunganisha na huyu mwanamama anayemlinda Mh. Rais naomba aweze kunipa connection ni wapi nitampata amekuwa akinivutia sana jinsi anavyotekeleza majukumu yake ya kiusalama kwa Mama yetu.

Nipo tayari kumpa shamba langu la urithi la michungwa mtu yoyote ambaye ataweza nipatia mawasiliano yake, kama sio mawasiliano yake basi kunikutanisha nae tu inatosha kabisa.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.

NB: Mlinzi ni huyo mdada aliyesimama upande wa kulia wa mama, na kama bado hajaolewa niko tayari kumfanya mke wa pili.



View attachment 1978940View attachment 1978958
Piskali
 
@mexmelo kaka hatupendi uende jela tena kwa heshima na taadhima futa huu uzi kuna kitu kina endelea sio kizuri
Kitu gani ambacho sio kizuri katika huu uzi? Matola ndio kawatuma kutoka juwaa la celebtrity muje huku.
 
Anuani yake ni:
'Namba 1, Magogoni Dar'.

Kuna Geti kubwa,
Utakuta Waungwana pale Getini, ukiwaeleza tu kuwa unamhitaji huyo Dada watakuitia, ila kuwa na subira hadi wakati Bi. Mkubwa akiwa Mjini.
limeisha hilo.
 
6C3FCB41-7E70-41CD-B670-BA9EA2B19C8F.jpeg
Mpendwa wangu huyo hapo kang’aa kwelikweli…
 
Kwakweli ananivutia kimwili hata Mimi Ila kikazi sijui kulikua Kuna mamambwa walimlinda Sana Mwendazake mpakaleo hayupo daaaaa kazi wanafanya wanaonekana viongozi wetu wanakuaga wagonjwa ...
 
Nipe connection mkuu, huyu mdada ndio mtu pekee ambaye amenifanya niwe nafuatilia ziara za mama, huwa ananikosha sana.

Tangu awe mlinzi wa mama chura yake imekuwa standard, ngozi imenawiri vyema ana sifa zote za kuwa mke wa pili
Kuna misamiati umeitumia sidhani kama ni mizuri,"chura yake imekua standard",fikiri huyu ni mama yako anaandikwa hivi mtandaoni ungejisikiaje?
Tuwe na heshima wana if wenzangu.
 
Back
Top Bottom