Acha dharau Mkuu😅😅Acha kufananisha Mlima na kichuguu, hawa ni wabeba vyuma tu na suti zao za mtumba hata wewe unaweza wakalisha kwa makofi tu
Mkuu sio dharau hao jamaa ni makanjanja tu kama green guard au red briged tu waliokariri kua mlinzi ni suti na miwan ya kuchomea vyumaAcha dharau Mkuu
HahahahaHumble huku anakung'oa kucha bila ganzi.
🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka adi nimejishangaaHaa usinikumbushe jamani kuna jamaa alitamani rubani wa ndege akaishia kufuga kuku , akasema potelea mbali ndege ni ndege tu hamna shida
Fani yake kupiga ugali😅Na wewe Tumbo Tumbo ni fani gani?
Mkuu kwenye suala la tasi umenivunja mbavuKwa hiyo yoyote anaefaulu mtihani vizuri yeye anapelekwa cyber crime hata kama hajui computer, basi hiyo tiss itakua tasi.
Huwezi kufanya cyber kama huna ujuzi wa ict tena mzuri, lakini kama kila mtu anaefaulu mtihani anakua cyber crime expert basi kazi ipo.
Vp wale waliopangiwa "jukumu" kwa Tundu Lissu, wako hai au ndo hivyo wameachwa wafe wenyewe na ugonjwa wa meno na kuvimba vichwa?Kusudio la maisha yako ni kuitumikia Nchi na si vinginevyo.
Hapa unakuwa umepoteza 85% ya uhuru wako binafsi. Ukipangiwa jukumu unaweza kuuwa au kuuwawa kama mambo hayatakwenda sawa.
Sijui walijichukulia hatua gani kwenge genge lao....wale ni watendaji kazi kutoka genge fulani linalojificha kwenye kivuli cha taasisi.Vp wale waliopangiwa "jukumu" kwa Tundu Lissu, wako hai au ndo hivyo wameachwa wafe wenyewe na ugonjwa wa meno na kuvimba vichwa?
haaaaaaaa kwani vipi tena ili uweje anajichagulia mwenyewe kutoka kundiniNani anayemchagulia Rais wetu walizi...
Sifahamu sana ila nilifikiri akishaingia ikulu na baada ya masaa ya kazi kwisha ulinzi na usaidizi anapokewa na wengine maana sio rahisi kumlinda rais masaa ishirini na nneNaomba Unijuze?? Kauzu Black Linaishi wap??
trusted agent what do you mean?Hakuna mtu poa kama huyo braza,haipiti siku mbili tatu bila kuchekiana...he is a true braza...kimedani huyo mtu ni noma mzee tena noma sana ni highly trained and trusted agent...niseme inatosha tu kwa hayo machache mkuu.
Hivi huyo Musiba ana undugu na Cyprian?Ha ha ha umenikumbusha,stori za kina Veronica Amadu,Mwide,Sammy,Lulu nk.
ongeza na kitabu kinaitwa KULFURT"Gongo la chuma",Kufa na kupona,vyoye hivyo vya marehemu mzee Musiba.
We jamaa bhanaUkiona unamchokoza halafu wala hakufanyi lolote jua ya kwamba bado anamsikilizia Mwenyezi Mungu kwamba ' akudedishe ' uwahi Mbinguni au akuache Kwanza uendelee Kula Matunda ya Tanzania ya Viwanda, Stiglers Gorge na SGR. Na ukiona umemchokoza ( Provoke ) kadri uwezavyo na bado tu akawa anakuvumilia basi akikubadilikia na Kukupiga jua ' Breki ' yako ya Kwanza ni ICU Muhimbili, kisha utarudishwa kidogo Mwaisela au Sewahaji au Kibasila kupunga Upepo mara ya mwisho mwisho na baada ya hapo kwa Maumivu ya Kipigo ' Kitakatifu ' ambacho atakuwa amekupa basi utazidiwa tena ghafla na Kurudishwa ICU kisha muda mchache ujao Ndugu zako watapigiwa Simu waanze kuweka Maturubai huko Kwenu na Kutangaza Msiba wa ' Popoma Mchokozi ' Wewe na baada ya hapo ni Maziko yako ili ukayaanze maisha yako mapya uliyoyataka mwenyewe huko Udongoni / Mavumbini.
ukisoma maandishi yako akili inakuwa kama inapitishwa AfrghanistanGentamycine una wapa watu hofu Sana na hadithi nyingi za kusadikika kwenye nchi ya amani Tanzania
Huyo mzee alikuwa na akili timamu hawezi kuwa na undugu na MWEHU,ni nasaba za kikoo tu.Hivi huyo Musiba ana undugu na Cyprian?
Huyo mzee alikuwa na akili timamu hawezi kuwa na undugu na MWEHU,ni nasaba za kikoo tu.
Haa usinikumbushe jamani kuna jamaa alitamani rubani wa ndege akaishia kufuga kuku , akasema potelea mbali ndege ni ndege tu hamna shida
Kwani Afghanistan Kuna Nini mkuu kinachoendana na mwandiko wangu? Mfanoukisoma maandishi yako akili inakuwa kama inapitishwa Afrghanistan