Huyu Mlinzi wa Rais Magufuli kapatwa na majanga gani tena?

Alikuwa junior saiv karudishwa hapa na cheo cha UDso,tena alienda kusoma mambo ya 'Laws enforcement'.
Huyo sio Tiss...hakuna Tiss anayejianika...alikuwa anawatisha tu kwa manufaa yake binafsi...Wale wamefundishwa kutunza siri kwa gharama yoyote kwa hiyo sio rahisi kujianika..huyo ni mamluki...unaweza ishi na mme wako au mke wako mpk mnazeeka hujui sembuse huyo?
 
Huyu jamaa mwaka jana kipindi bado yupo kama mlinzi wa Rais,kuna siku moja maeneo ya serena hotel(NMB HOUSE),nipo na pikipiki mimi na rafiki yangu tunatoka Aga Khan tunaelekea PPF Tower,basi tunafika pale NMB House tu,kuna gari inatoka ndani NMB House,imeingia moja kwa moja bila taadhari barabarani, mwisho kabisa akaja kugonga pikipiki yetu.

Bahati nzuri sisi hatukuumia,ila pikipiki ndio iliumia,dereva wa ile gari alikuwa ni mdada mmoja,basi pale mabishani yakaanza kati ya sisi na yule dada kuhusu malipo ya matengenezo ya pikipiki au tuite trafiki moja kwa moja aje kupima ajali.

Muda si muda akaja mlinzi wa NMB House( FFU), yeye akawa anasema tuondoke pale,hataki mkusanyiko wa watu wowote yule, muda si muda akaja sasa HUYU JAMAA,AMBAE NI MLINZI WA RAISI, AKAONGEA NA NA YULE FFU KIDOGO THEN NAONA THEN NA YULE DADA KIDOGO. Baada ya hapo naona FFU anamwambia yule dada aondoke bila kufikiana makubaliano yeyote yale na sisi,sisi tukaanza kugoma,kilichotokea yule askari akaja na wenzio na SMG zao,wakaanza kututishia kama wanataka kuTuShoot na huku wanasema,sisi tunaweza kuwatwanga bunduki , na tunaweza kusema nyie ni wezi wa Bank mumekuja kufanya uhalifu hapa.

Kwa kweli baada ya kutishiwa mtutu wa bunduki,sisi tulikuwa wa pole, mbaya zaidi majamaa wakatupeleka kwenye kibanda chao pale nje kama majambazi,na huku nyuma yule dada wakamuondoka na huyu MLIZI WA RAISI AKAONDOKA ZAKE.

Kwa kifupi huyu jamaa ni muonevu kama watu wengine tu, hajali haki ya mtu,ni mmoja wa wale watu ambao wanatumia nafasi zao vibaya kwenye jamii.

Tangu siku hiyo hawa watu wanaoitwa ASKARI, siwezi kuwapa lifti ya gari yangu/ pikipiki hata siku moja,chuki zangu zimezidi kuongeza mara dufu. Na huyu jamaa NAOMBA KAMA KUNA MABAYA YEYOTE YAMEMKUTA BASI YAENDELEE KUMKUTA.
Duuu
 
Hakuna mtu poa kama huyo braza,haipiti siku mbili tatu bila kuchekiana...he is a true braza...kimedani huyo mtu ni noma mzee tena noma sana ni highly trained and trusted agent...niseme inatosha tu kwa hayo machache mkuu.
Take Oath for .......Pengo......never change......

...................
 
Na pia katika dunia hii kila kitu kina faida na hasara zake... Je ni zipi Hasara za kuwa TISS member ?????? Nijibuni plz
Kutenda yale usiyoyaoenda au kwenda kinyume na utashi au imani yako.

Kuna wakati unabidi uue, upige mtu kipindo heavy na pengine kwa utashi na maono yako pengine unaona huyo mtu hastahili.
 
Salute Mkuu..Sio kila king'aaacho ni Dhahabu.
Hakuna mtu poa kama huyo braza,haipiti siku mbili tatu bila kuchekiana...he is a true braza...kimedani huyo mtu ni noma mzee tena noma sana ni highly trained and trusted agent...niseme inatosha tu kwa hayo machache mkuu.
 
Kutenda yale usiyoyaoenda au kwenda kinyume na utashi au imani yako.

Kuna wakati unabidi uue, upige mtu kipindo heavy na pengine kwa utashi na maono yako pengine unaona huyo mtu hastahili.
Dah. Basi sio kazi hii walah. Bora kazi zingine ila sio ya kumkosoa mungu
 
Huyu jamaa alikua ni miongoni mwa walinzi wa Rais JPM tena wale ambao ni very special ambao wanakua in a close yard na rais,siku za hivi karibuni alikua haonekani kabisa kwenye misafara ya anko Magu but nimeshangaa jana kumuona akiwa kwa spika Ndugai...imekuaje tena? wataalam wa haya mambo mtujuzeView attachment 1093561

Mimi nadhani kwa kuwa jamaa ni "team leader" kuna wakati inabidi afanye "cover" kwa PM ambae hayupo kwenye hiyo picha.

Sababu ni kwamba PM alimwakilisha raisi JPM kwenye msiba hivyo "level" ya ulinzi inapanda kidogo kutokana na uwingi wa watu na pia yule wa PM tuliemzoea nae hakuwepo siku hiyo na hayupo kwa muda fulani.

Ila PM, Ndugai na Dr Bashiru walikaa pamoja pale kwenye msiba wa marehemu mzee Mengi.

Ingawa walikuwa na jamaa wengine nyuma yao lakini huyu bosi alikuwa akifanya "overall look out".

Huyu hawezi kwenda kwa Ndugai kwani atakuwa kama amekuwa "demoted", (nadhani utanielewa hapa) kwani yeye ni "level" ingine.

Lakini kwa tabia yako ya udadisi unaonyesha kitu chaitwa "potential" ulicho nacho, big up.
 
Mimi nadhani kwa kuwa jamaa ni "team leader" kuna wakati inabidi afanye "cover" kwa PM ambae hayupo kwenye hiyo picha.

Sababu ni kwamba PM alimwakilisha raisi JPM pale Diamond Jubilee hivyo "level" ya ulinzi inapanda kidogo kutokana na uwingi wa watu na pia yule wa PM tuliemzoea nae hakuwepo siku hiyo na hayupo kwa muda fulani.

Ila PM, Ndugai na Dr Bashiru walikaa pamoja pale Diamond Jubilee kwenye msiba wa marehemu mzee Mengi.

Ingawa walikuwa na jamaa wengine nyuma yao lakini huyu bosi alikuwa akifanya "overall look out".

Huyu hawezi kwenda kwa Ndugai kwani atakuwa kama amekuwa "demoted", (nadhani utanielewa hapa) kwani yeye ni "level" ingine.

Lakini kwa tabia yako ya udadisi unaonyesha kitu chaitwa "potential" ulicho nacho, big up.
Hii hadithi yako ni uongo kuanzia mwanzo hadi mwisho.

Msiba wa mzee mengi na diamond jubilee wapi na wapi?
 
Ukienda Dodoma pale nyerere square jirani na Msikiti , yupo dogo mmoja anatokea Songea uwa anajifanya chinga mpayukaji utakuta kashika kichane cha ndizi anauza , kesho yebo.
Dah,jamaa unawajua sana au na ww ni miongoni mwao?
 
SOMETIME KAMA HUNA MAJIBU ITS BETTER UNYAMAZE TU KULIKO KUJAZA REPLY ZISIZO NA MAANA WASOMA COMMENTS TUNALOAD MI PAGE KIBAO NA HATUKUTI KITU CHA MAANA
 
Back
Top Bottom