Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Hakuna anayekulazimisha kuamini kinachoandikwa JF.JF mnajua kudanganyana sana. Haitwi hivyo wala sio mpemba
Hakuna anayekulazimisha kuamini kinachoandikwa JF.JF mnajua kudanganyana sana. Haitwi hivyo wala sio mpemba
Basi muache kuandika vitu msivyovijua mnapoteza maana ya GT. GT hajiamuulii tu kuandika uongo ili aonekane na yeye kaandika kitu. Kukaa kimya ni busara zaidi kuliko kupotoshaHakuna anayekulazimisha kuamini kinachoandikwa JF.
Sijaandika uongo. Aliyenitajia jina la huyo mtu ni mmoja wa wakurugenzi wa mamlaka za nchi hii, ni mmoja wa washauri wa JPM, anakutana sana na huyo kijana hapo ikulu kila anapokwenda kikazi.Basi muache kuandika vitu msivyovijua mnapoteza maana ya GT. GT hajiamuulii tu kuandika uongo ili aonekane na yeye kaandika kitu. Kukaa kimya ni busara zaidi kuliko kupotosha
unawaza pesaSometimes bora cheo kidogo na safari nyingi kuliko cheo kikubwa na kuwa desk officer
Wafanyakazi watanielewa
saaaaaanaunawaza pesa
Hakika mkuu lile Jamaa Black Ni KAUZU sana zaidi hata ya huyu mwana tunayemjadili hapa..
Yes, Mfipa, huyo kuna kasiri na pengo na kuwepo pale na hatatolewa.
Cc; Pengo
Dah Mkuu Nasikia Pengo ni TISS kitambo sana..
Siku hizi hakuna anayepewa uongozi wa ngazi za juu kwenye makanisa kama sio wa system....na hapo kuna wanayemuandaa amrithi Pengo...makanisa na misikiti mikubwa ina nguvu sana so ni muhimu kuweka watu wao...
Nakubali Mkuu Je ni Yuda Thadeo Ruwaichi?
sidhani mkuu, huyu jamaa ni kama alikuwa "demoted" kiaina, wakatoliki waone hivi tu!
JF kila mtu TISS au yuko Jikoni.Na hili ndiyo Jibu sahihi na ndiyo ukweli wenyewe Mkuu wengine ' wanabwabwaja ' tu. Kuna Mtu kasema Jamaa alikuwa TCRA yaani nimemshangaa hadi nimejikuta nacheka tu kwani hayupo sahihi kwa 100% na alichokisema siyo kweli kabisa ila kama kawaida Watu wengi wamemuamini na kumpa ' Milaiki ' kibao wakati amewaingiza ' Chaka ' ile mbaya.
tumempa kazinyingine lazima tuwabadilishe wasije nunuliwa na maaduiHuyu jamaa alikua ni miongoni mwa walinzi wa Rais JPM tena wale ambao ni very special ambao wanakua in a close yard na rais,siku za hivi karibuni alikua haonekani kabisa kwenye misafara ya anko Magu but nimeshangaa jana kumuona akiwa kwa spika Ndugai...imekuaje tena? wataalam wa haya mambo mtujuzeView attachment 1093561
Download Image
Huyu jamaa alikua ni miongoni mwa walinzi wa Rais JPM tena wale ambao ni very special ambao wanakua in a close yard na rais,siku za hivi karibuni alikua haonekani kabisa kwenye misafara ya anko Magu but nimeshangaa jana kumuona akiwa kwa spika Ndugai...imekuaje tena? wataalam wa haya mambo mtujuzeView attachment 1093561
Kazi maalum ya kuziba mdomo wa spikaLabda asili yake ni mkoa wa spika
Sio kweli kama usemavyo Bali huku ndani ya JF kuna wengine ni ndugu/rafiki za hao jamaa na wengine tumewahi kaa nao sana kama pale Ubungo flats NHC,. Wao walikuwa wamepewa flat nzima moja lakini bado wengine pia walijichanganya nasi kwenye ma flat ya kawaida na hapo ndipo watu waliweza kujua hili na lile kuhusu kazi zao na sio kama unavyofikiri...mengi yanayoelezwa yana kaukweli fulani hivyo jifunzeJF kila mtu TISS au yuko Jikoni.
Sijaandika uongo. Aliyenitajia jina la huyo mtu ni mmoja wa wakurugenzi wa mamlaka za nchi hii, ni mmoja wa washauri wa JPM, anakutana sana na huyo kijana hapo ikulu kila anapokwenda kikazi.
Usijifanye unajua kila kitu, heshimu maoni ya kila mtu. Humu ndani tunatumia code names hatutumii majina tuliyopewa na wazazi wetu.
.Kuna mtu aliwahi kuniambia kuwa wale wanaokaa nyuma ya raisi wanapigana sana figisu na majungu hatari.
Wanasomea moja wapo lazima uwe fit kumkabili master jet leeHivi wanasomeaga nini kazi hizo?
Anidanganye ili afaidike na nini haswa?, ili iweje?.Kwani huyo Mmoja wa Wakurugenzi ambaye unaonekana umemuamini kabisa hadi kukupa hiyo taarifa hawezi Kukudanganya Kiongozi?
Anidanganye ili afaidike na nini haswa?, ili iweje?.