utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,830
- 2,417
tafadhal shekh kila mtu aendelee na shughuli zakeWapekeye bado tuko nyuma yako
tafadhal shekh kila mtu aendelee na shughuli zakeWapekeye bado tuko nyuma yako
MalimbeProduct ya baba Askofu
Malimbe
Kapanda cheo mfano wa yuleeeee aliekuwa b/guard wa prezooKwa mantiki hii atakua kashushwa cheo ama kapanda cheo?
Ila kuna informal bodaboda sio.??A point of correction mkuu, hakuna TISS bodaboda.
Am out.
inasemekana yuko mkoa fulani huko kaskazini anaonyeshwa kihampa, ili aweze kujenga pango/nyumba ya kuishiHuyu jamaa alikua ni miongoni mwa walinzi wa Rais JPM tena wale ambao ni very special ambao wanakua in a close yard na rais,siku za hivi karibuni alikua haonekani kabisa kwenye misafara ya anko Magu but nimeshangaa jana kumuona akiwa kwa spika Ndugai...imekuaje tena? wataalam wa haya mambo mtujuzeView attachment 1093561
Nimesoma Nae Advance then Tunaenda Wote Udsm then Tukasoma Wote tena UstawiProduct ya baba Askofu
Kwa advance sawa, ila chuoNimesoma Nae Advance then Tunaenda Wote Udsm then Tukasoma Wote tena Ustawi
Huyo jamaa anadhani kila mlinzi lazima awe na mbavu nene,kumbe yupo anaelinda kwa macho tu yupo unaemuona ameshika silaha na yupo anaekuongelesha tu lakini wote ni walizi tofauti iliyopo ni specialization and division of labour.Mkuu hivi kwani TISS si kuna wahasibu, masecretary, rma, watu it, nk au kila mtu anayefanya kazi TISS amepitia mafunzo ya utimamu wa mwili? Si kuna watu wa usalama (informers) wamesambaa kwenye mabenki, vyuoni na taasisi nyengine za umma na binafsi je hawa nao ni watu wa ngumi jiwe?
Mfano mdogo Dr Kipilimba ambaye ni current DGIS na wakurugenzi wengine waliopita wanautimamu gani kimwili?
kuna jamaa mmoja alikuwa akimlinda mzee lowasa alipokuwa prime minister saivi yuko mamlaka ya anga pale! sijajua ana position gani, nadhani kadri umri unavyosogea hubadilishiwa majukumu.Good
Anaitwa Aloyce Tendewa alishawahi fanya kazi na Mwl pia ila nilisikia amestaafu huyukuna jamaa mmoja alikuwa akimlinda mzee lowasa alipokuwa prime minister saivi yuko mamlaka ya anga pale! sijajua ana position gani, nadhani kadri umri unavyosogea hubadilishiwa majukumu.
Alishitakiwa mahakamani na tunasubili nini kitajili..ila nadhani ndo imeisha hiyo ....Yule aliyepigwa Tanganyika jeki na polisi ishu ya kuvuta posho za mwekezaji iliishia wapi?
Kwamba kazi imeisha sivyo? Kweli Jpm kampa nguvu Diwani maana Kuna watu walijifanya untouchableAlishitakiwa mahakamani na tunasubili nini kitajili..ila nadhani ndo imeisha hiyo ....
Unajaribu kutengeneza hoja ya kujiweka ukaribu na kujua, lakini binadamu asiye jua vitu ni vizuri akakaa kipya lau hua anapotoshaNa usishangae ukiambia kuwa pengine hata Mleta huu ' Uzi ' ni miongoni mwao Mkuu. Huwezi Kuhoji Vitu vizito vizito na ' Nyeti ' kama hivi halafu usiwe ama miongoni mwao au unakaribia kuwa miongoni mwao Hivi kama Wewe siyo Mshirikina unaweza kweli kujua kuwa Watu wengi wanaficha ' Hirizi ' katika Makende / Mapumbu yao yaliyotukuka? Aliyeleta hii ' Mada ' kuweni nae makini kwani huenda hapa anakamilisha ' Assignment ' yake ili hatua fulani ama ' Positive ' au ' Negative ' zichukuliwe na ' Mlengwa '. Hivi hamjiulizi tu kwamba ni kwanini katika Watu wote Yeye ' Interest ' yake ni huyu tu? Kwani waliohamishwa hapo au kubadilishwa ni Yeye tu peke yake? Na ameleta hii ' Mada ' hapa Jamvini akijua kuwa hapa ndiyo kuna ' Vichwa ' vina Akili kuliko hata Wao walioko huko lakini kama haitoshi pia kuna ' Wapuuzi ' fulani watakuwa ' wanafunga ' kwa wayajuayo zaidi kwa Mlengwa / Mhusika. Idara yenyewe tu ina neno ' Intelligence ' sasa mpaka hapo hamjui kuwa hapa tumeshategwa na tayari wote tumetegeka na kumrahisishia Jamaa na ' Departmental Assignment ' yake?
Atakua sio sukumaHuyu jamaa alikua ni miongoni mwa walinzi wa Rais JPM tena wale ambao ni very special ambao wanakua in a close yard na rais,siku za hivi karibuni alikua haonekani kabisa kwenye misafara ya anko Magu but nimeshangaa jana kumuona akiwa kwa spika Ndugai...imekuaje tena? wataalam wa haya mambo mtujuzeView attachment 1093561
Bonge yup? Km unamaanisha mashauri umedanganyaKila Unaemuona Pale ana Taaluma Yake, Kama Yule Bonge Bonge Ni Mwañasheria
Huyo anayeuliza hilo swali ni constable wa police achana naeUkiacha ' Unafiki ' wako nitakupa ' Ushirikiano ' unaoutaka Kwangu juu ya Jambo / Suala uliloliuliza.
pamoja sanaMimi nadhani kwa kuwa jamaa ni "team leader" kuna wakati inabidi afanye "cover" kwa PM ambae hayupo kwenye hiyo picha.
Sababu ni kwamba PM alimwakilisha raisi JPM kwenye msiba hivyo "level" ya ulinzi inapanda kidogo kutokana na uwingi wa watu na pia yule wa PM tuliemzoea nae hakuwepo siku hiyo na hayupo kwa muda fulani.
Ila PM, Ndugai na Dr Bashiru walikaa pamoja pale kwenye msiba wa marehemu mzee Mengi.
Ingawa walikuwa na jamaa wengine nyuma yao lakini huyu bosi alikuwa akifanya "overall look out".
Huyu hawezi kwenda kwa Ndugai kwani atakuwa kama amekuwa "demoted", (nadhani utanielewa hapa) kwani yeye ni "level" ingine.
Lakini kwa tabia yako ya udadisi unaonyesha kitu chaitwa "potential" ulicho nacho, big up.
Yaani kesi ndo imeisha hivo.Kwamba kazi imeisha sivyo? Kweli Jpm kampa nguvu Diwani maana Kuna watu walijifanya untouchable
Haiwezekani kesi kuisha kirahisi kwa madudu yaleYaani kesi ndo imeisha hivo.