smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,538
- 11,868
Haa usinikumbushe jamani kuna jamaa alitamani rubani wa ndege akaishia kufuga kuku , akasema potelea mbali ndege ni ndege tu hamna shida
Haa usinikumbushe jamani kuna jamaa alitamani rubani wa ndege akaishia kufuga kuku , akasema potelea mbali ndege ni ndege tu hamna shida
Mzee muundo wa TISS hauko hivo, wameamua kumbadilishia majukumu tuKwa mantiki hii atakua kashushwa cheo ama kapanda cheo?
hujanielewa mkuu. ila haina shida...halafu sio kila tiss ni watu wa majukumu ya kuteka, kulinda viongozi au kuuwa watu.Kuna TISS humble? wanapretend tu ili wapate wanachokitaka
Kuna TISS humble? wanapretend tu ili wapate wanachokitaka
A point of correction mkuu, hakuna TISS bodaboda.Najua kama ni TISS,na hao watu wapo hadi waendesha bodaboda ajabu nini sasa kwa mimi kukubali?
Mi nafikiri yupo kitengo cha kulinda VIPs,ndani ya taasisi kubwa ya inteligensia.Huyu jamaa alikua ni miongoni mwa walinzi wa Rais JPM tena wale ambao ni very special ambao wanakua in a close yard na rais,siku za hivi karibuni alikua haonekani kabisa kwenye misafara ya anko Magu but nimeshangaa jana kumuona akiwa kwa spika Ndugai...imekuaje tena? wataalam wa haya mambo mtujuzeView attachment 1093561
Kazi maalumProcurement Officer tcra na kwa Job wapi na wapi?
Wanaharakati piahujanielewa mkuu. ila haina shida...halafu sio kila tiss ni watu wa majukumu ya kuteka, kulinda viongozi au kuuwa watu.
wapo madaktari, wachumi, wanasheria, wanahabari nk.
PoleA point of correction mkuu, hakuna TISS bodaboda.
Am out.
Sometimes bora cheo kidogo na safari nyingi kuliko cheo kikubwa na kuwa desk officerKwa mantiki hii atakua kashushwa cheo ama kapanda cheo?
Elimu ya huyo mlinzi ni ya hapa na pale.....Lazima usomee
Nikupe pole wewe kwasababu what you see or hear, nothing seems as it is.Pole
Huu uzi mzuri sanaHuyu jamaa alikua ni miongoni mwa walinzi wa Rais JPM tena wale ambao ni very special ambao wanakua in a close yard na rais,siku za hivi karibuni alikua haonekani kabisa kwenye misafara ya anko Magu but nimeshangaa jana kumuona akiwa kwa spika Ndugai...imekuaje tena? wataalam wa haya mambo mtujuzeView attachment 1093561