Huyu mlinda mlango wa Yanga ni kipa kweli? Yanga wameleta kitu gani hiki!

Golikipa wa Yanga ameokoa one vs one 2 pia amecheza vizuri tu......goli la 2 shuti lilipigwa kwa kukatika kama umewahi kuwa golikipa utajua shida ya kudaka hiyo mipira inayokatika.
 
Kwa kipa, Uto hawajapigwa sana...

Goli la kwanza aliufuata mpira, Djuma ndjo alichomesha..

Goli la pili pale huwezi kumlaumu, lile shuti likipimwa kasi limezidi kasi ya mwanga...

Kuna kale kajamaa kanachokimbia kama amekatwa kichwa (Muloko)... Hana madhara kabisa... Pale Uto wamepigwa mchana kweupe....
Uko sahih kipa Yuko vzr
 
Ukute wanaolaumu wamekaa wanachezea tecno zao. Hata danadana mbili hawawezi zipiga. kipa kasave nyingi sana tena zile ambazo unajua wazi ni goli. Mpira kufungwa ni kawaida hasa magoli kama yale. Kuliko kuropoka bora uendelee kumfulia nguo shemeji yako ili dadako ajione ameolewa na mtu wa maana.

IMG_4556.jpg

IMG_4543.jpg
 
Ukiangalia magoli yote aliyofungwa ni mipira ambayo golikipa wa kiwango cha kawaida kabisa asingefungwa. Goli la kwanza alishindwa kuinuka haraka na kujiposition kitendo ambacho siyo kizuri kwa mlinda mlango. La pili ndiyo nilishindwa kujua kama kuna kipa ama shati hapo golini. Mchezaji anapiga mpira, mpira unaambaa usawa wa mikono kipa ananyosha tu mikono juu. Duh GSM wanajua kwakweli wanapowatoa hawa wachezaji.
Kipa Yuko saf kaokoa snaa tungepigwa nne. Apo
 
Tuache ujinga shuti lile nani ataweza kudaka? Lile la pili.
La kwanza kipa alitaka kuucheza djuma akaugusa hivyo kipa akaukosa..
Na huku yule jamaa aliyefunga alikuwa free hana mtu wa kumkaba na ulikuwa upande wa kibwana ule.
Hii ndiyo yanga tuliyoitaka. Tumecheza soka zuri kweli nimependa..
 
Ukiangalia magoli yote aliyofungwa ni mipira ambayo golikipa wa kiwango cha kawaida kabisa asingefungwa. Goli la kwanza alishindwa kuinuka haraka na kujiposition kitendo ambacho siyo kizuri kwa mlinda mlango. La pili ndiyo nilishindwa kujua kama kuna kipa ama shati hapo golini. Mchezaji anapiga mpira, mpira unaambaa usawa wa mikono kipa ananyosha tu mikono juu. Duh GSM wanajua kwakweli wanapowatoa hawa wachezaji.
Si mlisema anadaka mpaka risasi


Dauda aliwaambia kapigwa bao 50 kwa msimu
 
Magoli yote yale mawili ni kukosa mawasiliano na markings mbaya za mabeki.
Kukiwa na kona, yanga wanafungwa kirahisi, sababu ni zilezile.
Goli la Makambo ndiyo goli la maana, kulikuwa hamna jinsi mabeki walifinywa.
 
Kipa wa Zanaco ndo alikuwa bora golini na siyo huyo wa Utopolo? Mnakumbuka jinsi alivyopangua juu ya lango ile michomo miwili ya Djuma?Angekuwa ni kipa wa Uto ile michomo imezama.

Nasema hivyo kwasababu goli la kusawazisha la Zanaco mfungaji alilichop uelekeo ule ule aliokuwa amepiga Djama Shabani,sema kipa wa Zanaco yeye alisevu vizuri.
 
Tuache ujinga shuti lile nani ataweza kudaka? Lile la pili.
La kwanza kipa alitaka kuucheza djuma akaugusa hivyo kipa akaukosa..
Na huku yule jamaa aliyefunga alikuwa free hana mtu wa kumkaba na ulikuwa upande wa kibwana ule.
Hii ndiyo yanga tuliyoitaka. Tumecheza soka zuri kweli nimependa..
Mashabiki wa Yanga Ni kama Arsenal vile 😁😁😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom