ungekuwa umeoa asingekufanyia huo udimbwi hakika, umeolewa...!!..wote hamkuwa tayari....ndoa na iheshimiwe na watu wote....hata wasio na ndoa lazima waheshimu ndoa za watu......na siku wakimkuwadia utanielewa...pumafu wewe..Nimeoa boss
Kula tu hao mashemeji, kakusogezea mwenyewe, kizuri kula na nduguyoJamani nimeoa mwaka huu mwezi wa pili tunaishi vizuri na mke wangu bila shida yoyote.
Miezi mitatu baada ya ndoa mke wangu akaanza kuleta marafiki zake wa kike tuishi nao wakati anajua kabisa tumepanga chumba kimoja wakawa wanakuja baada ya wiki wanaondoka wanakuja wengine hivyo hivyo nikimuambia mbona unaleta marafiki zako na tupo na chumba tu anasema wao wanakuja na awezi kuwafukuza .
Sasa huyu rafiki yake wa sasa aliyekuja ndio shida kaja toka mwezi wa 9 na wala hana mpango wa kuondoka yupo tu na shida nyingine ni mvivu sana hapa nipo kwenye mawazo kwasababu mke wangu hata hajali kwasababu toka aje huyo rafiki yake sijawai kufanya tendo la ndoa na mke wangu kwasababu awezi kufanya na yeye yupo hapo naona mke wangu wala haoni shida yeye yupo tu
Vipi jamani nifanye nini nimuondoe huyu shemegi hapa na ugwadu mpaka natamani nichepuke au nimle huyu shemeji akikataa itakuwa ndio njia ya kuondoka mwenyewe kwasababu kuna muda wife anawahi kazini ananiacha naye
Naombeni ushauri nifanye nini imekuwa kero kubwa sana.
Kwa Nini uongee kwa mafumbo?unaelewa tofauti ya kuwa baba/mume na boyfriend?simama kwenyea nafasi yako toa maamuzi.Uwa namuambia ata kwa mafumbo wala anielewi
Mkuu ,,,nakushauri usilalamike hilo jambo,Jamani nimeoa mwaka huu mwezi wa pili tunaishi vizuri na mke wangu bila shida yoyote.
Miezi mitatu baada ya ndoa mke wangu akaanza kuleta marafiki zake wa kike tuishi nao wakati anajua kabisa tumepanga chumba kimoja wakawa wanakuja baada ya wiki wanaondoka wanakuja wengine hivyo hivyo nikimuambia mbona unaleta marafiki zako na tupo na chumba tu anasema wao wanakuja na awezi kuwafukuza .
Sasa huyu rafiki yake wa sasa aliyekuja ndio shida kaja toka mwezi wa 9 na wala hana mpango wa kuondoka yupo tu na shida nyingine ni mvivu sana hapa nipo kwenye mawazo kwasababu mke wangu hata hajali kwasababu toka aje huyo rafiki yake sijawai kufanya tendo la ndoa na mke wangu kwasababu awezi kufanya na yeye yupo hapo naona mke wangu wala haoni shida yeye yupo tu
Vipi jamani nifanye nini nimuondoe huyu shemegi hapa na ugwadu mpaka natamani nichepuke au nimle huyu shemeji akikataa itakuwa ndio njia ya kuondoka mwenyewe kwasababu kuna muda wife anawahi kazini ananiacha naye
Naombeni ushauri nifanye nini imekuwa kero kubwa sana.
Tena pumbafu kubwa sanaungekuwa umeoa asingekufanyia huo udimbwi hakika, umeolewa...!!..wote hamkuwa tayari....ndoa na iheshimiwe na watu wote....hata wasio na ndoa lazima waheshimu ndoa za watu......na siku wakimkuwadia utanielewa...pumafu wewe..
Anza naye huyo huyo aliyeletwaJamani nimeoa mwaka huu mwezi wa pili tunaishi vizuri na mke wangu bila shida yoyote.
Miezi mitatu baada ya ndoa mke wangu akaanza kuleta marafiki zake wa kike tuishi nao wakati anajua kabisa tumepanga chumba kimoja wakawa wanakuja baada ya wiki wanaondoka wanakuja wengine hivyo hivyo nikimuambia mbona unaleta marafiki zako na tupo na chumba tu anasema wao wanakuja na awezi kuwafukuza .
Sasa huyu rafiki yake wa sasa aliyekuja ndio shida kaja toka mwezi wa 9 na wala hana mpango wa kuondoka yupo tu na shida nyingine ni mvivu sana hapa nipo kwenye mawazo kwasababu mke wangu hata hajali kwasababu toka aje huyo rafiki yake sijawai kufanya tendo la ndoa na mke wangu kwasababu awezi kufanya na yeye yupo hapo naona mke wangu wala haoni shida yeye yupo tu
Vipi jamani nifanye nini nimuondoe huyu shemegi hapa na ugwadu mpaka natamani nichepuke au nimle huyu shemeji akikataa itakuwa ndio njia ya kuondoka mwenyewe kwasababu kuna muda wife anawahi kazini ananiacha naye
Naombeni ushauri nifanye nini imekuwa kero kubwa sana.
Duu hata kama kwetu ni mafukara lakini si kwa umasikini wa akili huu,Ila haya mambo ukihadithiwa unaweza dhania ni utani au story za kuchangamsha kikao. Ila yanatokea kweli.
Kuna mshikaji alioa kislay queen fulani cha kiswahili.
Yule binti bwana akaleta wadogo zake 4 katika nyumba yao wanayoishi, wakiume m'moja wa kike watatu. Na mama yake ambaye katika umri wake wa kama 48 hivi ana mtoto ana mwaka aisee wote akawaleta akawarundika katika kanyumba wamepanga ka chumba na sebule.
Just imagine unaishi vipi hapo..... Ila jamaa anasogeza maisha fresh tu bila shida. Anajionea sawa tu....
Madame unaonekana we ngumi mkononiUngekuwa ndugu yangu ningekuja hapo hapo kwako naanza na wewe nakupa vindoge vyote kisha mkeo akileta nyodo anakula kofi moja, namfuata huyo shemeji yako kama alizaliwa na binadamu au mbuzi , namfungasha siku hiyo hiyo, hana adabu kabisa huyo!
hamna unajua inaleta hasira sana eti nikute kaka yangu hivyo hapana huyo mgeni namnyanyua mchana mchana, kwetu hatuna ujinga wa hivyoMadame unaonekana we ngumi mkononi
mbona mnaishi maisha ya kiswahili sana jmn. ila maisha ni kuchagua hivyo na wewe umechagua kuishi hivyo.Ninavyovua nguo anatoka nje kidogo nikimaliza anarudi