Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,783
- 28,800
Hydroquinone haijawahi kumuacha mtumiaji salama
Na kwenye papuchi + magotinifella mwenyewe anajua ila kuna mahala lazima awe mweusi kama sio kalioni pasi pajani
Ndiyo hvyo mpendwa kazi tunayoDuh!!!
-Ndumilakuwili-
Ulipotelea wapi blaza, au ulienda likizo?Mkorogo balaa aisee
Wala hata sikupotea, ni michakato ya hapa na pale iliniweka busy kidogoUlipotelea wapi blaza, au ulienda likizo?
Lazima ugome pale Kati iwe nyuma au mbele.fella mwenyewe anajua ila kuna mahala lazima awe mweusi kama sio kalioni pasi pajani
Kama zimwi!Muonekano wa huyu mwanamama mke wa mkubwa Fella huwa unanipa mkanganyiko maana ni wa kipekee,kwa wanao mjua hebu tujuzeni ni mzungu au ni shombe shombe???
-Ndumilakuwili-
Muonekano wa huyu mwanamama mke wa mkubwa Fella huwa unanipa mkanganyiko maana ni wa kipekee,kwa wanao mjua hebu tujuzeni ni mzungu au ni shombe shombe???
-Ndumilakuwili-