TASLIMA
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,013
- 3,572
Chiiiiiinga wewe!!
Chiiiiiinga wewe!!
sasa pale Hugos mbona niliona Mdada amakaa mwenyewe?Jamani jamanii!!
Mzazi wa huyo member bana! Naelewa mmoja wa wazazi wetu wakiumwa akili inahama!
Mimi ni mzee!
sasa pale Hugos mbona niliona Mdada amakaa mwenyewe?
Nimesema jiiiinga in kuryan melody!!
si nilishwa kujua kama ni wewe ama la mana sielew kama ww ni Dada/au Mama..
Mbona hukumuita jamani
Mimi ni mzee!si nilishwa kujua kama ni wewe ama la mana sielew kama ww ni Dada/au Mama..
haha mzee kijana wwMimi ni mzee!
Ndo nimekupita hapo stand eeehhh! Ukanikonyeza?!
Mkuu tulia tu, mwanamke aliongea mengi na shetani kule bustani ya Eden,Tumefahamiana muda kidogo akinambia anapatikana Dom n.k last week alinambia anataka kuja Dar kusalimia ila hana nauli.akasema angependa apate nafasi tuweze kusema kidogo.
Mimi muda mrefu huwa nawasiliana naye kwa simu.tumezoeana kama we know each other. Alhamis ndo akanambia anatamani aje Dar... Sikuona shida nikamtumia tsh 40,000 nauli ya Dom to Dar.
Akikaribia ubungo anijulishe naweza enda mchukua au nitamwambia achukue Taxi impeleke atakapofikia.nlimwambia kama atapenda nimhudumie malazi hizo siku mbili tatu its ok.
Nlimtumia hiyo pesa kwa namba aliyonielekeza. Alipokea na toka siku hiyo hakupokea simu yangu tena.
Najua atanihesab kuwa mmoja ya wanaume mabwege.haina shida.40,000. Its nothing to me. Ambalo nasikitika ni kuwa amepoteza rafiki.siku zote hizo sikuwahi mwambia abt sex.nlikuwa nam treat kama rafiki.
Sijali kwa yeye kunyamaza kwa kupata tsh 40,000. Nasikitika kuwa amepoteza urafiki na pengine msaada mkubwa hapo mbeleni. Sikumpa ili aje awe sex partner wangu.nlimpa aje atembelee marafiki sisi dar.
Mviziaji mwingineEwe member uliyetumiwa 40,000/- ukuje huku utoe maelezo ya kina. Yaani unapoteza heshima kwa ajili ya wekundu wa Msimbazi wanne tu?!