Huyu mdada anavyonichunia baada ya kumwambia hivi, kosa langu ni nini?

Sikushikii panga wala, you are free to take it or leave it ila haijawahi tokea! Ukiwa mtu wa kushobokea kila pisi lazma ukumbane na zahama😂
Mimi ni introvert sugu nadhani unajua tabia zetu ila nisikufiche kila sehem nayopoint lazima nipigwe kizinga na kama kupoint mimi ndio bapoint kweli kweli
 
Mimi ni introvert sugu nadhani unajua tabia zetu ila nisikufiche kila sehem nayopoint lazima nipigwe kizinga na kama kupoint mimi ndio bapoint kweli kweli
Dah basi una kigundu chalyangu😅 tatizo una point ma sley kwin, tafta kuku wa kienyeji wale bila make up wa beauty tu 😎 ukishobokea wapaka cream utaumia!
 
Huyu mdada nilikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nikatambulishwa kuwa alikuwa ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu. Alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena siku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya siku 4, siku ya 5, nika-set a date akaja.

Tukakutana kwenye mgahawa mzuri, mimi nikaagiza sprite yeye akaagiza juisi, nikamweleza nia yangu, akaonesha kukubaliana na mimi, baada ya hapo akanisindikiza..nikasepa.

Sasa nikamwambia aje gheto kwangu apajue alisema atakuja baada ya wiki 1, kabla ya hiyo siku ya yeye kuja gheto kufika, akanitext akaniambia ana shida ya tsh elf 10 nimtumie, nikamwambia asijali, akija gheto intampa zaidi ya hiyo Tsh. elf 10, akasema hapana anaihitaji kwa muda huo.

Nikamwambia akope sehemu ingine akija gheto hata tsh elf 40 nitampa na nauli nitamrudishia mara mbili yake..kiuhalisia mimi uwezo wa kumpa hata tsh elf 70 nilikuwa nao, akasema haya.

Tangu siku hiyo alinichunia, SMS zangu hakujibu tena, simu zangu hapokei, na gheto hakuja tena sasa wazee mimi kosa langu lilikuwa nini hapo, maana hata nlivyomtongoza nilienda kawaida, sikujifanya nina hela.
Safi sana mwanangu ungetuma ndo usingemuona bora hivyo maana ukiomba utasikia bado mapema lakini wao kuomba hela huwa hawaoni mapema
 
Huyu mdada nilikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nikatambulishwa kuwa alikuwa ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu. Alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena siku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya siku 4, siku ya 5, nika-set a date akaja.

Tukakutana kwenye mgahawa mzuri, mimi nikaagiza sprite yeye akaagiza juisi, nikamweleza nia yangu, akaonesha kukubaliana na mimi, baada ya hapo akanisindikiza..nikasepa.

Sasa nikamwambia aje gheto kwangu apajue alisema atakuja baada ya wiki 1, kabla ya hiyo siku ya yeye kuja gheto kufika, akanitext akaniambia ana shida ya tsh elf 10 nimtumie, nikamwambia asijali, akija gheto intampa zaidi ya hiyo Tsh. elf 10, akasema hapana anaihitaji kwa muda huo.

Nikamwambia akope sehemu ingine akija gheto hata tsh elf 40 nitampa na nauli nitamrudishia mara mbili yake..kiuhalisia mimi uwezo wa kumpa hata tsh elf 70 nilikuwa nao, akasema haya.

Tangu siku hiyo alinichunia, SMS zangu hakujibu tena, simu zangu hapokei, na gheto hakuja tena sasa wazee mimi kosa langu lilikuwa nini hapo, maana hata nlivyomtongoza nilienda kawaida, sikujifanya nina hela.
Ungeliwa pesa na kukaushiwa bora umekataa kutuma hela..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani ni hivi, hakuna kutoa pesa kwa manzi asiye na muda flani na wewe. Toa tu kwa yule anayeeleweka yuko na wewe kwa lolote wakati wowote.
 
Huyu mdada nilikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nikatambulishwa kuwa alikuwa ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu. Alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena siku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya siku 4, siku ya 5, nika-set a date akaja.

Tukakutana kwenye mgahawa mzuri, mimi nikaagiza sprite yeye akaagiza juisi, nikamweleza nia yangu, akaonesha kukubaliana na mimi, baada ya hapo akanisindikiza..nikasepa.

Sasa nikamwambia aje gheto kwangu apajue alisema atakuja baada ya wiki 1, kabla ya hiyo siku ya yeye kuja gheto kufika, akanitext akaniambia ana shida ya tsh elf 10 nimtumie, nikamwambia asijali, akija gheto intampa zaidi ya hiyo Tsh. elf 10, akasema hapana anaihitaji kwa muda huo.

Nikamwambia akope sehemu ingine akija gheto hata tsh elf 40 nitampa na nauli nitamrudishia mara mbili yake..kiuhalisia mimi uwezo wa kumpa hata tsh elf 70 nilikuwa nao, akasema haya.

Tangu siku hiyo alinichunia, SMS zangu hakujibu tena, simu zangu hapokei, na gheto hakuja tena sasa wazee mimi kosa langu lilikuwa nini hapo, maana hata nlivyomtongoza nilienda kawaida, sikujifanya nina hela.
Kosa lako ni kutaka kusaidia pale utaposaidiwa!! Sio reliable kwake. We ungempa tu hilo lateni afu akija unampiga na 20K. Mzigo ungekula na ungeendelea kutunukiwa tu ukihitaji. Manzi wengi wanapenda jamaa ambaye wakilia wanasikilizwa na kusaidiwa!! Sasa imagine pengine alikuwa anataka 10k anunue umeme. We unamwambia mpk aje kwako. So akae giza mpk akija kwako!!! Tuwasaidie tu pale wanapohitaji na wakizidisha njaa tuwafyekelee mbali!!!
 
Back
Top Bottom