Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,405
- 6,281
Acha kupanic ww Toa K upewe hela. ..
One love
Hapana mm nikitoa K ni genye tu sio nna shida ya pesa. Kwetu hatuna njaa, nafanya kazi na biashara zangu. Ukinihonga ni kama unamwaga maji baharini hivi. Baba yangu kila nikimtumia msg ya asubuhi njema anantumia vocha. Ili kuniepusha na mafisi kama wewe