Huyu mdada anavyonichunia baada ya kumwambia hivi, kosa langu ni nini?

Acha kupanic ww Toa K upewe hela. ..

One love

Hapana mm nikitoa K ni genye tu sio nna shida ya pesa. Kwetu hatuna njaa, nafanya kazi na biashara zangu. Ukinihonga ni kama unamwaga maji baharini hivi. Baba yangu kila nikimtumia msg ya asubuhi njema anantumia vocha. Ili kuniepusha na mafisi kama wewe
 

Attachments

  • InShot_20200813_130817044.jpg
    InShot_20200813_130817044.jpg
    499.6 KB · Views: 3
Hapana mm nikitoa K ni genye tu sio nna shida ya pesa. Kwetu hatuna njaa, nafanya kazi na biashara zangu. Ukinihonga ni kama unamwaga maji baharini hivi. Baba yangu kila nikimtumia msg ya asubuhi njema anantumia vocha. Ili kuniepusha na mafisi kama wewe
Basi uje kunikumbuka na mimi kunitunuku japo siku moja tu,Sawa mrembo?
 
Mwanamke akiniomba hela namdharau!
Af wenyewe wanachukuliaga simple tu utaskia dume ukwap?
Mm-nipo na wana tunapooza makoo apa
Yy_bas ntigopesa nami ninywe wine
nyambaaaf!
 
Siku nyingine ujiongeze. Alikuomba hiyo elfu kumi ili atumie kama nauli na pia hata anunue chupi mpya ya kujia gheto kwako. Sio kila mzinga unaopigwa ni kuchunwa zingine ni gharama za maandalizi ya mpambano. Sasa we hujui kuwa alitakiwa kununua chupi mpya 5000, Nauli bodaboda 3000, Shaver ya kunyolea sirini 1500, vocha 500. Hapo mwekundu umeisha na hela yote ametumia kwa ajili ya kuja kukupa papuchi na abakiwi hata na chenji ya kunywa maji ndogo.

Kwa ubahili wako ni nyeto tu ndio inapaswa kuwa starehe yako kuu. Mademu waachie wanaojitambua

By Funzadume
Mzinzi Mstaafu
Hapa utavuna like zao za kutosha
 
Halafu mnakuja kulia humu ooh wazee wanachukukua watoto wadogo. Elfu 10!!! Hadi umeweka bundle kufungua uzi. Shit

Ulitakiwa umpe 50K na kesho yake unamuahirishia safari, unamwambia umeondoka kibiashara .

After a week Unaanza kukamua maziwa.
Angekujaje?
Ajilipie nauli , sijui bodaboda
Vocha kukutaarifu
Bra na chupi mpya ya show

Tuachieni tu. Nendeni kwa ma sugar mammy mkalelewe
 
Siku nyingine ujiongeze. Alikuomba hiyo elfu kumi ili atumie kama nauli na pia hata anunue chupi mpya ya kujia gheto kwako. Sio kila mzinga unaopigwa ni kuchunwa zingine ni gharama za maandalizi ya mpambano. Sasa we hujui kuwa alitakiwa kununua chupi mpya 5000, Nauli bodaboda 3000, Shaver ya kunyolea sirini 1500, vocha 500. Hapo mwekundu umeisha na hela yote ametumia kwa ajili ya kuja kukupa papuchi na abakiwi hata na chenji ya kunywa maji ndogo.

Kwa ubahili wako ni nyeto tu ndio inapaswa kuwa starehe yako kuu. Mademu waachie wanaojitambua

By Funzadume
Mzinzi Mstaafu
 
Huyu mdada nlikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nkatambulishwa kuwa alikua ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu, alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena cku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya siku 4, siku ya 5, nika-set a date akaja, tukakutana kwenye mgahawa mzuri, mm nkaagiza sprite yeye akaagiza juisi, nkamweleza nia yangu, akaonesha kukubaliana na mm, baada ya hapo akanisindikiza..nkasepa

Sasa nkamwambia aje gheto kwangu apajue alisema atakuja baada ya wiki 1, kabla ya hio siku ya yeye kuja gheto kufika, akanitext akaniambia ana shida ya tsh elf 10 nimtumie, nkamwambia asijali, akija gheto ntampa zaidi ya hiyo tsh elf 10, akasema hapana anaihitaji kwa muda huo, nkamwambia akope sehemu ingine akija gheto hata tsh elf 40 ntampa na nauli ntamrudishia Mara mbili yake..kiuhalisia mm uwezo wa kumpa hata tsh elf 70 nlikuwa nao, Akasema haya..

Tangu siku hiyo alinichunia, SMS zangu hakujibu tena, simu zangu hapokei, na gheto hakuja tena sasa wazee mm kosa langu lilikuwa nn hapo, maana hata nlivomtongoza nlienda kawaida, sikujifanya Nina hela..
Tatizo lako ni kushindwa kumsaidia wakati ana shida na kutaka kumsaidia siku akija kukusaidia wewe!!

Sent from my MAR-LX1M using JamiiForums mobile app
 
Huyu mdada nlikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nkatambulishwa kuwa alikua ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu, alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena cku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya siku 4, siku ya 5, nika-set a date akaja, tukakutana kwenye mgahawa mzuri, mm nkaagiza sprite yeye akaagiza juisi, nkamweleza nia yangu, akaonesha kukubaliana na mm, baada ya hapo akanisindikiza..nkasepa

Sasa nkamwambia aje gheto kwangu apajue alisema atakuja baada ya wiki 1, kabla ya hio siku ya yeye kuja gheto kufika, akanitext akaniambia ana shida ya tsh elf 10 nimtumie, nkamwambia asijali, akija gheto ntampa zaidi ya hiyo tsh elf 10, akasema hapana anaihitaji kwa muda huo, nkamwambia akope sehemu ingine akija gheto hata tsh elf 40 ntampa na nauli ntamrudishia Mara mbili yake..kiuhalisia mm uwezo wa kumpa hata tsh elf 70 nlikuwa nao, Akasema haya..

Tangu siku hiyo alinichunia, SMS zangu hakujibu tena, simu zangu hapokei, na gheto hakuja tena sasa wazee mm kosa langu lilikuwa nn hapo, maana hata nlivomtongoza nlienda kawaida, sikujifanya Nina hela..

Unapesa halafu unabembeleza?!! Duuh haya maajabu huyu ni nzi achana nae na kama unashida nae jiongeze bembeleza, wanawake pia wanapenda uharaka wa kutimiziwa ndio unapata class hasa makupe vile, elfu10 then ukasita?, U lost class men!! Security ilipotea na kama hauna mvuto au u handsome ndio Rudi ujikombe upya uende na elfu70 yako ukapigie shoo uko uko mbali umtoe posho walau35 nusu balance matumizi.
 
Back
Top Bottom