Huyu mdada anaetangaza taarifa ya habari ya TBC ameolewa?

hujamwona live wewe, huyu mtoto ni balaa, akiwa studio kila fundi wa kiume anataka kufanya naye kazi, alafu hajui kukasirika, anacheka tu na watu, mme wake ana raha kuliko wanaume wengi, ukipata mwanamke anayekupa tabasamu, hata asipokupa chakula cha usiku unafika raha ya juu kabisa
Sawa mkuu!! nmeamini kuwa tunaona tofauti, yan kwa huyo dada cjaona hata cha kunstua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kufananisha chakula cha usiku na mambo ya kijinga kinaendelea kubaki juu sana
hujamwona live wewe, huyu mtoto ni balaa, akiwa studio kila fundi wa kiume anataka kufanya naye kazi, alafu hajui kukasirika, anacheka tu na watu, mme wake ana raha kuliko wanaume wengi, ukipata mwanamke anayekupa tabasamu, hata asipokupa chakula cha usiku unafika raha ya juu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom