Huyu mchumba vipi?

yello masai

JF-Expert Member
Jan 8, 2016
3,542
3,502
Mchumba wangu wa kike anauza duka maeneo flani hapa mjini.
Ni wiki mbili tu tangu nilipomtambulisha kwa wazazi.
Jana saa saba na dakika 10 mchana nikamtumia meseji ya kawaida, hakujibu.

Ilipofika saa saba na dakika 33 nikawa na wasi wasi ikabidi nimpigie simu.
Nikapiga mara ya kwanza kimya. Nikatulia dakika 3 zikapita nikapiga tena kimya.

Baada ya dakika kama 5 akanipigia. Kwa hasira sikupokea simu. Akatuma meseji eti sory mpenzi nilienda kununua chakula.
Mmh sikuridhika na sababu yake hiyo maana sikutegemea kama ataacha duka aende kununua chakula zaidi ya dakika 20.
Akaendelea kunitext na kupiga nikakaa kimya. Usiku ikabidi nipokee simu yake, tuliiashia kulaumiana bila muafaka.

Hadi muda huu napoandika hajanitumia SMS wala kupiga tangu jana usiku. Na mimi nimeamua kukaa kimya.

Sasa najiuliza, huyu mchumba vipi? Anafaa kweli? Na nshamtambulisha sasa. Najiuliza nimchukulie hatua gani bila majibu.
 
Mchumba wangu wa kike anauza duka maeneo flani hapa mjini.
Ni wiki mbili tu tangu nilipomtambulisha kwa wazazi.
Jana asubuhi saa saba na dakika 10 mchana nikamtumia meseji ya kawaida, hakujibu.

Ilipofika saa saba na dakika 33 nikawa na wasi wasi ikabidi nimpigie simu.
Nikapiga mara ya kwanza kimya. Nikatulia dakika 3 zikapita nikapiga tena kimya.

Baada ya dakika kama 5 akanipigia. Kwa hasira sikupokea simu. Akatuma meseji eti sory mpenzi nilienda kununua chakula.
Mmh sikuridhika na sababu yake hiyo maana sikutegemea kama ataacha duka aende kununua chakula zaidi ya dakika 20.
Akaendelea kunitext na kupiga nikakaa kimya. Usiku ikabidi nipokee simu yake, tuliiashia kulaumiana bila muafaka.

Hadi muda huu napoandika hajanitumia SMS wala kupiga tangu jana usiku. Na mimi nimeamua kukaa kimya.

Sasa najiuliza, huyu mchumba vipi? Anafaa kweli? Na nshamtambulisha sasa. Najiuliza nimchukulie hatua gani bila majibu.
Shule zinafunguliwa lini wakuuu
 
Uliisi hakujibu sababu gani labda?

Umempeleka hadi kwenu means umeridhika nae na umeona anakufaa

Kuna muda kukosa trust kwa mwenzio kunaweza kuvunja uhusiano kirahisi tu

Sababu ya wewe na yeye kulaumiana sio ya msingi kabisa
Na jibu la anafaa ama lah unalo wewe muoaji

Pambana!
 
Mchumba wangu wa kike anauza duka maeneo flani hapa mjini.
Ni wiki mbili tu tangu nilipomtambulisha kwa wazazi.
Jana asubuhi saa saba na dakika 10 mchana nikamtumia meseji ya kawaida, hakujibu.

Ilipofika saa saba na dakika 33 nikawa na wasi wasi ikabidi nimpigie simu.
Nikapiga mara ya kwanza kimya. Nikatulia dakika 3 zikapita nikapiga tena kimya.

Baada ya dakika kama 5 akanipigia. Kwa hasira sikupokea simu. Akatuma meseji eti sory mpenzi nilienda kununua chakula.
Mmh sikuridhika na sababu yake hiyo maana sikutegemea kama ataacha duka aende kununua chakula zaidi ya dakika 20.
Akaendelea kunitext na kupiga nikakaa kimya. Usiku ikabidi nipokee simu yake, tuliiashia kulaumiana bila muafaka.

Hadi muda huu napoandika hajanitumia SMS wala kupiga tangu jana usiku. Na mimi nimeamua kukaa kimya.

Sasa najiuliza, huyu mchumba vipi? Anafaa kweli? Na nshamtambulisha sasa. Najiuliza nimchukulie hatua gani bila majibu.

Wewe ndo hufai mkuu kwa sababu mwanaume anatakiwa kuwa stronger ila kwenye story yako mambo yapo kinyume!!
 
yello masai jana asubui saa saba na dakika kumi mchana nikamtumia meseji ya kawaida mkuu hupo sayari hii
 
Inaonekana Bado hujakua na hapo hujaingia kwenye ndoa sasa, we subiri cheti halafu uje uone mtihani wake huko mbeleni.
 
Ooooh kumbe uliamua kumwaga ugali na yy kaamua kumwaga mboga wote Hamna kula.anakupigia cm unajidai hupokei kwa makusudi BA's na yeye kaona hakuna umaana
 
In love hakunaga kukomoana au ushndan... Mayb na wew hufai kwan yy n mtumwa wa cm hata choon awe nayo try to think as a man tena ningekua mm ckupgii nazma tu cm kmya
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom