Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Sijawahi kusikia popote pale Mbunge anawahimiza Wananchi wake kutembea na picha ya mbunge wao.
Huyu mbunge sijui anatumia akili gani kufanya anayoyafanya dhidi ya wapiga kura wake.
Ingekuwa kipindi cha Jiwe huyu angejikuta pabaya maana angehisiwa kutaka kufanya mageuzi.
Naomba tulijadili hili kama Watanzania.
Huyu mbunge sijui anatumia akili gani kufanya anayoyafanya dhidi ya wapiga kura wake.
Ingekuwa kipindi cha Jiwe huyu angejikuta pabaya maana angehisiwa kutaka kufanya mageuzi.
Naomba tulijadili hili kama Watanzania.