Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,347
- 6,471
Kuna nchi nyingine wanafanya mahojiano na wananchi kwa namna alivyofanya 'Masanja', lakini maudhui yote inawekwa hewani, sasa huyu iweje afanye censorship - kuchagua hasi tu? Kwanza alihoji wangapi? Na wangapi walikuwa hawajui?
TCRA wanatakiwa kumhoji pia kwa suala hili.
Pia je ana taaluma ya uandishi wa habari? Kasomea uchungaji?
Sikiliza kipindi alichofanya.
Tazama huko kwingine wanavyofanya
Hii ya wenzetu, je si kweli wengine wanashida upstairs?
TCRA wanatakiwa kumhoji pia kwa suala hili.
Pia je ana taaluma ya uandishi wa habari? Kasomea uchungaji?
Sikiliza kipindi alichofanya.
Tazama huko kwingine wanavyofanya
Hii ya wenzetu, je si kweli wengine wanashida upstairs?