YAANI HUYU MAMA KWA WAFUATILIAJI ANAONEKANAGA KUWA SERIOUS AU NI MTU WA BIFU?? KAMA VIPI ANAONA KABANWA SI ASEPE?? JARIBU KUFUATILIA HATA KWENYE HARUSI YA KAKA MDOGO WA KIKWETE..USO WA MBUZI TU??
Ni kweli kabisa. Inaelekea huyo Mama anapata hofu anapotakiwa ku-pose kwa ajili ya picha. Wasaidizi wa Makamu wanapaswa kuona tatizo hili na kuongea na huyo Mama ili kumjengea hali ya kujiamini mbele ya Camera.Kuna watu ambao si photogenic. Yaani hawatokei vizuri kwenye picture. Maybe yeye ni mmoja wapo si kwamba anakasirika muda wote!
Maadili ya dini gani?Kulingana na maadili dini huyo Shy Rose alivyovaa ni chukizo. Mwanamke anatakiwa kujisitiri, ndio maana Mama VP kachukia.
YAANI HUYU MAMA KWA WAFUATILIAJI ANAONEKANAGA KUWA SERIOUS AU NI MTU WA BIFU?? KAMA VIPI ANAONA KABANWA SI ASEPE?? JARIBU KUFUATILIA HATA KWENYE HARUSI YA KAKA MDOGO WA
KIKWETE..USO WA MBUZI TU??
YAANI HUYU MAMA KWA WAFUATILIAJI ANAONEKANAGA KUWA SERIOUS AU NI MTU WA BIFU?? KAMA VIPI ANAONA KABANWA SI ASEPE?? JARIBU KUFUATILIA HATA KWENYE HARUSI YA KAKA MDOGO WA KIKWETE..USO WA MBUZI TU??