Wakuu wa kazi naomba mnieleweshe nataka kujua kwanini tokea huyu mama aapishwe speech yake ya kwanza anasisitiza kanuni..jana wakati wakuahirisha bunge amesisitiza tena mkasome kanuni.....ana maana gani?
Uoga ila hakuna namna, ni bora tu akubaliane na situation.Wakuu wa kazi naomba mnieleweshe nataka kujua kwanini tokea huyu mama aapishwe speech yake ya kwanza anasisitiza kanuni..jana wakati wakuahirisha bunge amesisitiza tena mkasome kanuni.....ana maana gani?