Huyu mama anaendesha basi la kampuni gani Mbeya-Dar?

Inasemekana female drivers ni careless than male drivers. Sina uhakika sana na hilo.
Huyo Nusura kuna siku naenda Mbeya akiwa bado ndenjela aliovateki malori manne pale kingolwira trafiki akambamba akaikuta kesi yake msamvu yaani alikuwa anakataa katakata huyo mama tangu siku ile nikaamini kweli hizi jinsia siyo excuse ya safe driving!
 
Inasemekana female drivers ni careless than male drivers. Sina uhakika sana na hilo.
Ndivyo ilivyo kwasababu uwezo wao wakufikiria unawafanya wafikirie nakutenda mambo mengi kwa wakati mmoja jambo ambalo linawafanya wanakosa umakini kwenye baadhi ya mambo au kwenye kufanya maamuzi sahihi kwenye jambo la haraka.Ila ilo haliwafanyi kushindwa kua madereva wazuri pale wanapoweza kufanya utulivu wa akili zao.Kwaiyo wako ambao wameweza ilo na tunakutana nao barabarani na wako makini sana,wengine hawaangalii hata pembeni kidogo.
 
Alikuwa tanga-mtwara, tanga - dom baadae akamalizia Arusha. Sasa hivi ameacha kuendesha yuko tanga anafanya shughuli zake..
 
2014 nilikuwa natoka Dom nakuja Dar kufika chalinze tukakutana na basi fulani hivi ilikuwa mpya mpya kimuonekano jina limenitoka

Yule dereva wa lile basi alitoka spidi na kutu overtake kwa spidi ya ajabu kufika mbele uso kwa uso na scania dereva wetu ikabidi asogee kando kumpisha alivyofanikiwa kupita pita kama vile panya anavyopenya penya na kukoswa bado akawa anaendelea kulikimbiza gari na kuovertake huko mbele mie nilimuona yule driver ni mwansmke ila abiria wengine hawakutambua,basi zima lilipigwa na butwaa na mshangao na minongono kibao

Bahati nzuri lile basi tukafanikiwa kulikuta mile 1 stand ndipo walipomuona yule driver ni mwanamke wacha watu waanze kucheka ,wenye kuongea lake ,watu walishangaa saaana

Popote alipo yule dereva mwanamke heshima kwake ase nampa salute

Alivaa uniform sketi ya blue ,shati jeupe huku akibadilisha gear tu na kuover take mijibaba yenye ndevu alikuwa na fujo sana barabarani

Nimekumbuka hili tukio
madreva wanawake wapo rafu Sana hawaangalii madhara yanayojitokeza.
Kuna dreva WA treni ya tazara mwanamke huwa anaspidi Sana Kuna siku mpaka mabehewa yakaacha reli kwa spidi zake
 
Na Kuna mwengine Hua anaendesha pulling(tank), halafu Transit.
Namjua huyo mfupi mwembaba anakaaa mbagara sema sasa hivi anamatatizo ya mguuu, maana alipofika kitonga mguu ulishindwa kunyoooka huku lory likiporomoka kwa kasi ya ajabu, ila cha ajabu akalimudu na kuliweka kwenye"emergency parking"amefanyiwa upasuaji anaendelea vizuri tyuuuu
 
Kwa anaefahamu atupe jibu maana ni sura ngeni tunamfahamu zaidi yule mama aliekuwa Ndenjela huyu yupo kampuni gani.View attachment 516682
Dahhh.... Asee nimefurah saaana kuona hii, mara ya mwisho kuwitness hivi ilikua miaka ya 90 kam ckosei asee tena kwenye bs za shabiby dom to dar... Kumbe n sehemu za uko pia wanapractice! Big up sana.... Lohhh! Kumbe mnaweza eeehh
 
Jinsi technologia ilivyoendelea sasa hivi hata bibi anaweza endesha lori la kisasa la tani 40...namaanisha kuendesha kama kuendesha tuu(kukanyaga mafuta kwenda mbele)....sio mambo ya rivasi, kukata kona na trela, kupanda na kushusha milima etc.
 
2014 nilikuwa natoka Dom nakuja Dar kufika chalinze tukakutana na basi fulani hivi ilikuwa mpya mpya kimuonekano jina limenitoka

Yule dereva wa lile basi alitoka spidi na kutu overtake kwa spidi ya ajabu kufika mbele uso kwa uso na scania dereva wetu ikabidi asogee kando kumpisha alivyofanikiwa kupita pita kama vile panya anavyopenya penya na kukoswa bado akawa anaendelea kulikimbiza gari na kuovertake huko mbele mie nilimuona yule driver ni mwansmke ila abiria wengine hawakutambua,basi zima lilipigwa na butwaa na mshangao na minongono kibao

Bahati nzuri lile basi tukafanikiwa kulikuta mile 1 stand ndipo walipomuona yule driver ni mwanamke wacha watu waanze kucheka ,wenye kuongea lake ,watu walishangaa saaana

Popote alipo yule dereva mwanamke heshima kwake ase nampa salute

Alivaa uniform sketi ya blue ,shati jeupe huku akibadilisha gear tu na kuover take mijibaba yenye ndevu alikuwa na fujo sana barabarani

Nimekumbuka hili tukio
ku-overtake hovyo hovyo namna hiyo sio sifa,ni kujitafutia majanga.

ilibidi mumuonye badala ya kumcheka kwa kumsifia.
 
Huyo Nusura kuna siku naenda Mbeya akiwa bado ndenjela aliovateki malori manne pale kingolwira trafiki akambamba akaikuta kesi yake msamvu yaani alikuwa anakataa katakata huyo mama tangu siku ile nikaamini kweli hizi jinsia siyo excuse ya safe driving!

Mkuu, hebu fafanua vizuri tuone kosa lake, kwani kuovateki malori manne kama mbele kweupe ni kosa?...
 
Alafu huyu atakuwa ni mchaga, wachaga hawapendi ujinga....wanasukuma hadi gogo. Truck za kubeba tani 30, huyo ni wa njia ya Tanga.....safi sana.. Hivi miwani haimsumbui? Maana hapo anaona vioo viwili kwa wakati mmoja
Kwenye miwani kuna Lens kaka sio kioo, kwahiyo anaona kioo kimoja tu ambacho ni cha gari.
 
Back
Top Bottom