NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,020
- 3,991
Jana nilikutana na mama flani karibia kuwa mtu wa makamo ana watoto wake ila bahati mbaya watoto wake sijawahi kumuona baba yao ila mmoja tu nina uhakika baba yake namfahamu maana ni rafiki yangu.
Jana nilimpa story ya rafiki yangu mmoja ambaye ni kijana wa miaka isiyozidi 29 kuwa aliniambia bro sijawahi kumuona baba yangu kwa macho.
Yule mama alinijibu kwa mkato tu akaniambia nenda kamwambie huyo dogo vile anafanya kazi afanye kazi kwa bidii sana na kutumia akili nyingi kama ni mfanyabiashara afanye kwa nguvu zake zote muda si mrefu baba yake atajitokeza tu kutoka shimoni huko aliko.
Hadi sasa nimechanganyikiwa kwa majibu ya huyu mama sijui la kufanya
Jana nilimpa story ya rafiki yangu mmoja ambaye ni kijana wa miaka isiyozidi 29 kuwa aliniambia bro sijawahi kumuona baba yangu kwa macho.
Yule mama alinijibu kwa mkato tu akaniambia nenda kamwambie huyo dogo vile anafanya kazi afanye kazi kwa bidii sana na kutumia akili nyingi kama ni mfanyabiashara afanye kwa nguvu zake zote muda si mrefu baba yake atajitokeza tu kutoka shimoni huko aliko.
Hadi sasa nimechanganyikiwa kwa majibu ya huyu mama sijui la kufanya