COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Mkuu, Mavunde na Ikupa si wapo??huyu mama anapaswa awe na aibu kuanzia sasa. Mipango waliokuwa wanapanga ni miovu kupindukia.
hakuna uhitaji wa wataalamu mpaka akaleta vurugu zote hizi?? leo ndio atueleze eti tulikuwa tukutane January.
Anachojua yee ni " Mh Spika kuhusu utaratibu..."Bungeni yeye anajua kuomba muongozo tu wa kumkingia kifua mheshimiwa Raisi, Spika na Naibu Spika pindi wanapopewa makavu live. Usitarajie kutumbuliwa huyo bado yupo yupo sana hapo.
Anatoka. Safari hii Magufuli hana mzaha wala urafiki kwenye kazi. Subiri mwaka mpya utamuona mtu mpya pale wizarani na huyu mama akapalilie mahindi kwao!