ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,273
- 22,004
Aiseeee ili amuuze amaIrene uwoya anaomba mungu na shetani usiku na mchana ili mtoto wake awe shoga huo ndiyo ukweli ninao kuambia
Aiseeee ili amuuze amaIrene uwoya anaomba mungu na shetani usiku na mchana ili mtoto wake awe shoga huo ndiyo ukweli ninao kuambia
Kabisaa yaan lol.Mambo yake muachie mwenyewe, yasikuumize kichwa...
mbavu zangu mie uwiiiih khaaaahNa huyo Loy ndio anashinda nae eti anko!!!
Anko mchicha?!
Aisee kiukweli nikiona mkaka kavaa hivo huwa sielewi kama yupo sawa na kuna mmoja nilimuona na ana chura kubwa tu nikashangaa
Sio mavazi tu mkuu, cheki mguu unavyong'aa. Hawa utawakuta na vipensi vyao wamekaa wanaoshwa miguu, anakatwa kucha na kupakwa mafuta mpaka mapajani.
Mwanaume akishavaa vipensi vya dizaini hiyo, kifuatacho itv kinajulikana....
Kati ya wanawake walio marafiki wa wanaume mashoga na wale wanaume ambao ndio wateja wa hao wanaume mashoga ni wepi usiowaelewa? na wepi ni chanzo cha tatizo la ushoga
khaaaahHII NI ILE JINSIA YA KUNDI LA TATU
Watoto gan hao wanao haribika? Hebu fafanua vizuri kwan lolIla huyo mwanadada anachokifanya mjini hakitamuacha salama. Laana ya Mungu hataikwepa. Wanaharibu sana jamii hawa.. kwa kupenda kwao waishi vizuri huku watoto wa watu wanazidi kuharibika.
Muulize Tivu akee
Umefukua uzi simu yenyewe ulinoga balaa
Hizo ngoko utadhani miguu ya kware!
Nlikua banned mie, daaahUmefukua uzi simu yenyewe ulinoga balaa
Pole baby. Nani alikuuudhi tena!?Nlikua banned mie, daaah
Daaah af sijui ban yangu kisa nn, nlijikuta tyuuh nipo kifungoni an. DaaaahPole baby. Nani alikuuudhi tena!?
Pole njonpm nikupe njia salama zakutokupatapa banDaaah af sijui ban yangu kisa nn, nlijikuta tyuuh nipo kifungoni an. Daaaah
Ukifwatilia watu kama Hawa mtandaoni unaweza kuhisi una gundu kumbe behind the scene ni tofauti kabisaIla sijaona Bata lolote analokula zaidi ya kupiga picha kwenye mali za watu.
Kha huyu nani Tena
nipe hapa hapa lolPole njonpm nikupe njia salama zakutokupatapa ban
Hapahapa hainogi😷nipe hapa hapa lol