Huyu Loydemich ni nani hapa mjini? Anafanya kazi gani?

Sema huwa siwaamini wanawake kwenye kauli kama hizi
Kuna mdada mmoja tulikuwa na mazoea naye tu kwenye mazingira ya kazi tuko washkaji tumekaa mahali na yeye yupo akaja jamaa yetu mwingine katupa hi akaondoka yule dada akatuambia simpendi huyu kaka
Namuuliza kwanini anasema "alivyo tu ana sifàsifa mambo yake siyapendi"
Unajua nini kilitokea haukupita mwezi dada alikuwa na mazoea sana na yule mshkaji na baadae jamaa alikuja kutuambia yule dada ndiyo shemu wetu
Tangu hapo nazidi kuelewa kuwa kuwaelewa wanawake ni kipengele

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ukiona mwanamke anasema hvyo from nowhere ujue anamtaka huyo mtu au huyo dada amejarib kumtega jamaa ila jamaa kama haon vile...hapo mtoto wa kike lazima aseme jamaa anaringa etc...hawa mbona kuwajua ni rahis sana
 
Kuna idad kubwa sana ya watoto wa kiume wanaenda kujiuza dubai...fatilia sana...zaman ilikua south africa sikuhis wanaenda sana dubai...ndomana kuna juma lokole kila kukicha wako dubai
 
kipensi hivo public
Hilo neno "PUBLIC" ndio limeelezea uhalisia mwamba unapenda ila isiwe public.

Jamaa aliesema hawaamini wanawakw kwa kauli zao basi yuko sahihi,wewe maana yakw unapenda ila tu aivae public maana yake avae pengine mukiwa wawili.

Hivyo inawezekana ikawa ni kweli kwamba wewe pia ni mpenzi wa wanaume wanaovaa vipensi ila tu asivae public.

Na ikiwa ni hivyo suala la public maana yake ni kuwa bado unampenda hata akivaa public ila tu unahofia watu wanaomuona huyo mtu watamchukiaje.

Na hata sisi wanaume tunapenda sana wanawake wavaa vimini ila sio puplic,haina maana k2amba wakiwa wanavaa public ndo tunawachukia hapana,tunawapenda tu ila sasa tunahofia jamii inayotuzunguka watamuona vipi huyo mtu.

Kwa mantiki hiyoniseme kwamba wewe ni MPENZI WA WANAUME WAVAA VIPENSI(vimini)kwa mujibu wa maneno yako mwenyewe.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom