cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 83,354
- 134,166
Acha uongo wako lol.Hapahapa hainogi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo wako lol.Hapahapa hainogi
That's makes the two of us aiseeeMimi ndio kwanza nimemjua kwenye sredi ya uwoya otherwise nisingemjua.
Pichai inajieleza kwakweli dahMimi nikishaona mwanaume kavaa hivyo vikaptula mapaja yote nje wala sitaki kujua tena anafanya mishe gani.
Vinakukosha eehHivo vipensi mmh!
Ulishangaa chura yake au kipensi?Aisee kiukweli nikiona mkaka kavaa hivo huwa sielewi kama yupo sawa na kuna mmoja nilimuona na ana chura kubwa tu nikashangaa
Ukiona mwanamke anasema hvyo from nowhere ujue anamtaka huyo mtu au huyo dada amejarib kumtega jamaa ila jamaa kama haon vile...hapo mtoto wa kike lazima aseme jamaa anaringa etc...hawa mbona kuwajua ni rahis sanaSema huwa siwaamini wanawake kwenye kauli kama hizi
Kuna mdada mmoja tulikuwa na mazoea naye tu kwenye mazingira ya kazi tuko washkaji tumekaa mahali na yeye yupo akaja jamaa yetu mwingine katupa hi akaondoka yule dada akatuambia simpendi huyu kaka
Namuuliza kwanini anasema "alivyo tu ana sifàsifa mambo yake siyapendi"
Unajua nini kilitokea haukupita mwezi dada alikuwa na mazoea sana na yule mshkaji na baadae jamaa alikuja kutuambia yule dada ndiyo shemu wetu
Tangu hapo nazidi kuelewa kuwa kuwaelewa wanawake ni kipengele
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wenyewe wanaita vinjunga....sasa kinondoni ndio wamepitiliza wanatembea mpaka na boxa ukuni tepetepe.Mimi nikishaona mwanaume kavaa hivyo vikaptula mapaja yote nje wala sitaki kujua tena anafanya mishe gani.
Wanaume wa dar hawaishi vitukoWenyewe wanaita vinjunga....sasa kinondoni ndio wamepitiliza wanatembea mpaka na boxa ukuni tepetepe.
Hilo neno "PUBLIC" ndio limeelezea uhalisia mwamba unapenda ila isiwe public.kipensi hivo public
Mbon hakuna aliejibu swali la muanzisha uzi kwamba jamaa anafanyanshughuli gani?!
Jamaa yangu we ni wa Dar eheee?Huyu mkaka ni nani hapa mjini anafanya mishe gani maana huwa namuona akila bata kila mahala dunia mara Marekani mara ulaya mara Dubai mara anaendesha magari ya gharama sana
Anafanya mishe gani hapa mjini? Anakula bata sana duniani
View attachment 1892916View attachment 1892917
Utaitwa haterIla sijaona Bata lolote analokula zaidi ya kupiga picha kwenye mali za watu.
KaBISA.Utaitwa hater