Looh! kiasi kikizidi sana nalo ni tatizo. msomi huyu hakupima uelewa wa anaowaandikia/walengwa wa tamko lako. ngoja mimi kwa hili nikubali kuwa mmoja wa wale 4:1 kwa mujibu wa kale ka utafiti.
After a very tough campaign full of all sort of politicking, character assassination and name calling, with hypocrisy of some Americans being in the uppermost and ending with the unexpected Trump's victory; America will never be the same America we know; economically,ideologically, and politically.Hillary underestimating Trump's opposition has ushered America into a new era and there is no way back Trump is the people's choice.
Nimejaribu kupeleka sehemu ya Tamko lake Google Translate.
Ngoja nilete majibu
Baada ya ukitoa sauti kubwa, rumbustious, bousterous na bila masharti exuberant Kampeni, isiyokuwa ya kawaida na milele kuongezeka mfano unafiki Haa imeonekana na ambao Wamarekani prodigious na nyenyekevu ambao serendipitously alifanya Trump rais wao
Nilishawahi ona video ya Interview yake aliyofanyiwa na Churchill live anasema amesoma sana Biologia na ndio maana kuna maneno mengi ya Kibiologia kwenye maongezi yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.