Huyu kweli ni professor? Aliyemuelewa please atafsiri

Satuuuu

JF-Expert Member
Dec 3, 2015
1,849
1,993
e9fb6585142d11375a7d31675fab0c2c.jpg
 
huyu mkenya ana matatizo, asitushirikishe kwenye taabu zake. na ajipange maana Trump ana hasira na wakenya
 


After a very tough campaign full of all sort of politicking, character assassination and name calling, with hypocrisy of some Americans being in the uppermost and ending with the unexpected Trump's victory; America will never be the same America we know; economically,ideologically, and politically.Hillary underestimating Trump's opposition has ushered America into a new era and there is no way back Trump is the people's choice.
 
Nimejaribu kupeleka sehemu ya Tamko lake Google Translate.
Ngoja nilete majibu

Baada ya ukitoa sauti kubwa, rumbustious, bousterous na bila masharti exuberant Kampeni, isiyokuwa ya kawaida na milele kuongezeka mfano unafiki Haa imeonekana na ambao Wamarekani prodigious na nyenyekevu ambao serendipitously alifanya Trump rais wao
 
13892309_1187115694672705_1308418081814952105_n.jpg

Nilishawahi ona video ya Interview yake aliyofanyiwa na Churchill live anasema amesoma sana Biologia na ndio maana kuna maneno mengi ya Kibiologia kwenye maongezi yake.
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom