Huyu kweli ni professor? Aliyemuelewa please atafsiri

Ni nani anathubutu kumwita Prof P Lumumba Prof Uchwara! Msikilize, msome utaona kila neno analotumia lina maana yake. Na wale usifikiri anatumia kamusi kuandika matamko yake. Anatitirika! Ni mtu wa pekee, zawadi ya pekee. Hata kiswahili chake ni cha undani mno! Ni mwanamapinduzi.

Kwa kuwa umeshindwa kuielewa sio kunamfanya yeye awe uchwara! Tujifunze. Na ukumbuke yeye amekubuhu tayari katika usomi, hana sifa anayotafuta, hiyo ni jinsi yake ya kuelezea hisia zake. Sio mtu wa kusema ' mkutano ulikuwa mzuri' bali ataelezea sifa za huo uzuri au ubaya!
Well said
 
Hivi hakuna alie elewa vizuri atafsiri kwa kiswahili?
Prof kwa lugha nyepesi anasema:

"Baada ya matamshi yenye mihemko, majivuno na kampeni zilizosheheni majigambo yenye kupanda chati kinafiki kila kukicha, ya Wamarekani wanaonesha kujaa kiburi na kupenda kutukuzwa, hatimaye bila kutarajia wamemchagua Trump awe Rais wao. Marekani, kwa ushindi huu, itaelekea kwenye hali wasiyoitarajia ya uchumi mfu. Yote hii ni kwa sababu ya mziki Hillary aliomchezea/mwonyesha Trump, naye akafanya kweli. Trump ameshinda, hakuna mrejeo/kurudia. Imetoka hiyo"

Sent from my SM-G360H using JamiiForums mobile app
 
Prof kwa lugha nyepesi anasema:

"Baada ya matamshi yenye mihemko, majivuno na kampeni zilizosheheni majigambo yenye kupanda chati kinafiki kila kukicha, ya Wamarekani wanaonesha kujaa kiburi na kupenda kutukuzwa, hatimaye bila kutarajia wamemchagua Trump awe Rais wao. Marekani, kwa ushindi huu, itaelekea kwenye hali wasiyoitarajia ya uchumi mfu. Yote hii ni kwa sababu ya mziki Hillary aliomchezea/mwonyesha Trump, naye akafanya kweli. Trump ameshinda, hakuna mrejeo/kurudia. Imetoka hiyo"

Sent from my SM-G360H using JamiiForums mobile app
Asante kwa ufasiri, hata kiswahili cha ndani huwa ni mtihani kwa Watz, sembuse lugha ya malkia iliyokuja kwa meli
 
Prof kwa lugha nyepesi anasema:

"Baada ya matamshi yenye mihemko, majivuno na kampeni zilizosheheni majigambo yenye kupanda chati kinafiki kila kukicha, ya Wamarekani wanaonesha kujaa kiburi na kupenda kutukuzwa, hatimaye bila kutarajia wamemchagua Trump awe Rais wao. Marekani, kwa ushindi huu, itaelekea kwenye hali wasiyoitarajia ya uchumi mfu. Yote hii ni kwa sababu ya mziki Hillary aliomchezea/mwonyesha Trump, naye akafanya kweli. Trump ameshinda, hakuna mrejeo/kurudia. Imetoka hiyo"

Sent from my SM-G360H using JamiiForums mobile app
Hongera
 
e9fb6585142d11375a7d31675fab0c2c.jpg

Kama 'THINGS FALL APART' ingeandikwa namna hii na Prof. Chinua Achebe, nani angemaliza hata ukurasa mmoja?
Sishangai sana maana hata wachina wanatuzidi kwa 'mabomba' ya kiswahili!
 
Raha yake ni kutokueleweka. Ni kutafuta sifa za kijinga tu, sifa mojawapo ya mawasiliano ni kueleweka au labda sijui analenga kufikisha ujumbe kwa nani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom