Well saidNi nani anathubutu kumwita Prof P Lumumba Prof Uchwara! Msikilize, msome utaona kila neno analotumia lina maana yake. Na wale usifikiri anatumia kamusi kuandika matamko yake. Anatitirika! Ni mtu wa pekee, zawadi ya pekee. Hata kiswahili chake ni cha undani mno! Ni mwanamapinduzi.
Kwa kuwa umeshindwa kuielewa sio kunamfanya yeye awe uchwara! Tujifunze. Na ukumbuke yeye amekubuhu tayari katika usomi, hana sifa anayotafuta, hiyo ni jinsi yake ya kuelezea hisia zake. Sio mtu wa kusema ' mkutano ulikuwa mzuri' bali ataelezea sifa za huo uzuri au ubaya!
Sio hivyo, Prof. katumia lugha ngumu mno hata wale wenyeji wa kule kwa malkia hawaambui kitu, tunaomba aje afasiriHahaha tushazoea viunganishi sie
Sio hivyo, Prof. katumia lugha ngumu mno hata wale wenyeji wa kule kwa malkia hawaambui kitu, tunaomba aje afasiriHahaha tushazoea viunganishi sie
Prof kwa lugha nyepesi anasema:Hivi hakuna alie elewa vizuri atafsiri kwa kiswahili?
Asante kwa ufasiri, hata kiswahili cha ndani huwa ni mtihani kwa Watz, sembuse lugha ya malkia iliyokuja kwa meliProf kwa lugha nyepesi anasema:
"Baada ya matamshi yenye mihemko, majivuno na kampeni zilizosheheni majigambo yenye kupanda chati kinafiki kila kukicha, ya Wamarekani wanaonesha kujaa kiburi na kupenda kutukuzwa, hatimaye bila kutarajia wamemchagua Trump awe Rais wao. Marekani, kwa ushindi huu, itaelekea kwenye hali wasiyoitarajia ya uchumi mfu. Yote hii ni kwa sababu ya mziki Hillary aliomchezea/mwonyesha Trump, naye akafanya kweli. Trump ameshinda, hakuna mrejeo/kurudia. Imetoka hiyo"
Sent from my SM-G360H using JamiiForums mobile app
Hahahaaaaaa! Watz kwa Kiswahili ndiyo wenyewe. Kiswahili cha Pwani na vijiweniAsante kwa ufasiri, hata kiswahili cha ndani huwa ni mtihani kwa Watz, sembuse lugha ya malkia iliyokuja kwa meli
HongeraProf kwa lugha nyepesi anasema:
"Baada ya matamshi yenye mihemko, majivuno na kampeni zilizosheheni majigambo yenye kupanda chati kinafiki kila kukicha, ya Wamarekani wanaonesha kujaa kiburi na kupenda kutukuzwa, hatimaye bila kutarajia wamemchagua Trump awe Rais wao. Marekani, kwa ushindi huu, itaelekea kwenye hali wasiyoitarajia ya uchumi mfu. Yote hii ni kwa sababu ya mziki Hillary aliomchezea/mwonyesha Trump, naye akafanya kweli. Trump ameshinda, hakuna mrejeo/kurudia. Imetoka hiyo"
Sent from my SM-G360H using JamiiForums mobile app
sasa si aliandika yeye mwenyewe... sasa hapo uchochezi unatoka wapi?Huu sasa UCHOCHEZI
Ule utafiti ni kwa hapa Tz tu ndugu
Patrick Obahiagbon hana mpinzani.
Hata PLO haoni ndani kwa huyo Mnaija.