CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
Kanda ya Unaf washatoa mshindi anayeenda champions league ya wanawake africa , wana simba tuna matarajio makubwa simba ashinde zone ya cecafa huko nairobi next month na kukata ticket ila jana wameonyesha kiwango duni, matter of fact wameonyesha kiwango duni tangu siku ile wanacheza na twiga stars wakikabidhiwa kombe lao.
Ni kama vile kina dada wameridhika na ubingwa wamepandisha mabega wanacheza kama ma slay queens, nawaonya kwamba kwenye kundi lao wako na wale kinadada wa Uganda watakula kipondo cha mbwa koko kwa mwendo wanaoenda nao.
Cha kushangaza simba dakikaa za mwisho wakampeleka musa mgosi u-20 ya wanaume na kumleta kocha mpya ambaye jana anajitetea kwamba ndo anaanza kutengeneza team, hata kama waliowapiga 4-0 ni under 17 ywa wavulana ila recently hao ma slay quens wanazengua, MNATUKERA unamtoaje Mgosi aliyekuwa amezoeana na team kwa muda mrefu huyu akifeli nairobisi ataanza kusingizia hakuwa na muda wa kujiandaa na kuanza kuomba apewe muda kujenga team?
Ni kama vile kina dada wameridhika na ubingwa wamepandisha mabega wanacheza kama ma slay queens, nawaonya kwamba kwenye kundi lao wako na wale kinadada wa Uganda watakula kipondo cha mbwa koko kwa mwendo wanaoenda nao.
Cha kushangaza simba dakikaa za mwisho wakampeleka musa mgosi u-20 ya wanaume na kumleta kocha mpya ambaye jana anajitetea kwamba ndo anaanza kutengeneza team, hata kama waliowapiga 4-0 ni under 17 ywa wavulana ila recently hao ma slay quens wanazengua, MNATUKERA unamtoaje Mgosi aliyekuwa amezoeana na team kwa muda mrefu huyu akifeli nairobisi ataanza kusingizia hakuwa na muda wa kujiandaa na kuanza kuomba apewe muda kujenga team?