Codon
JF-Expert Member
- Dec 16, 2011
- 628
- 93
Wana Jf nielezeni kama kuna post yenye mashaka nahawa watu wawili!Usijekuta wakutana wakaweka mambo sawa somewhere outside!Maana aliondoka kwenda kucheki afya India,soon jamaa kafata!Ila yeye akaenda JERUMANI?Sio janja ndani kweli,kwamba kulikuwa na talk somewhere btn two country?