Huyu Kamanda marehemu alikuwa mtu wa ajabu sana yaani yeye kama msimamizi wa sheria lkn kazivunja...

Mboko

JF-Expert Member
Oct 8, 2010
1,095
293
Hata hivyo, kifo cha Barlow kimetokea siku moja tu baada ya kutoa kauli ya kutatanisha juu ya tukio la polisi kummiminia risasi Ofisa Uhamiaji wa Mkoa wa Mwanza, Albert Buchafwe, kwamba aliingia katika mtego wao na kwamba ilikuwa auawe kwa kupigwa risasi.

Akizungumza na NIPASHE alhamisi iliyopita Barlow alisema kuwa:" Ni kweli kuna tukio kama hilo, lakini yalikuwa ni mashambulizi ya gizani kwa sababu askari walimfananisha ofisa uhamiaji na jamabzi waliyekuwa wamemuwekea mtego, nadhani ana bahati kwanindiyo akwaida yetu hutubembelezani na majambazi."

Pamoja na kauli hiyo kamanda huyo hakueleza kwa jinsi gani ofisa huyo haliingia katika mtego huo kwani hakuwa katika tukio la uporaji.
Hahahahaha kuna wimbo wa Twanga pepete waliimba ''iyoyo iyoyoyo mchimba kisima kaingia mwenyewe nambari one mchimba kisimaa kaingia mwenyewe.............yu wapi sasa.Ukiuwa kwa upanga utauliwa kwa upanga na si kwa Jembe
 
Nadhani maadili bado ni tatizo hapa janvini. Mtu huyu amekwisha tangulia mbele ya haki, hukumu yake ni yeye na Mungu wake sasa tunapokaa hapa na kujadili tena kwa kejeri as if hatutakufa ama tunajua vifo vyetu vitakuwaje hii inanishangaza sana.

Tunayoyajadili hapa kwa uficho, tukifunuliwa sasa tuyaseme wazi hakuna atakayethubutu kunyanyua mdomo wake. Jamani tuweni na ustaarabu wakati mwingine katika kudiscuss issues zenye sura ya uzuni/misiba.Familia yake,ndugu zake,marafiki zake na jamaa wanaposoma humu hivi wanajisikiaje katika kipindi hiki cha majonzi?. Tuache kuhukumu watu tena wafu!
 
Wangekula kiboga kwanza kabla ya kumtupia vitu vizito........wakome kutoa majibu mepesi ktk matatizo makubwa,
 
na wewe unajua utu kama unajua utu lile la ulimboka na mwangosi we uliishauri nin serikali kama si kiherehere. chamsingi kaa kula chamsibani na uludi kwako utakua umefanya jambo la maana sana kwa kubana bajeti vinginevyo itakukusti.
 
kamanda alitakiwa awe kioo cha jamii,na hiyo yote nikutokemea kwa sasa ya msiba ,kemeo lazima liwepo ikiwa na mifano hai kama hii,hujui kuficha uozo kama huu tunaeleka wapi.nyie ndio msiwaeleza watoto wenu ukweli kisa aibu au kifo! Shame on you!
Nadhani maadili bado ni tatizo hapa janvini. Mtu huyu amekwisha tangulia mbele ya haki, hukumu yake ni yeye na Mungu wake sasa tunapokaa hapa na kujadili tena kwa kejeri as if hatutakufa ama tunajua vifo vyetu vitakuwaje hii inanishangaza sana.

Tunayoyajadili hapa kwa uficho, tukifunuliwa sasa tuyaseme wazi hakuna atakayethubutu kunyanyua mdomo wake. Jamani tuweni na ustaarabu wakati mwingine katika kudiscuss issues zenye sura ya uzuni/misiba.Familia yake,ndugu zake,marafiki zake na jamaa wanaposoma humu hivi wanajisikiaje katika kipindi hiki cha majonzi?. Tuache kuhukumu watu tena wafu!
 
Nadhani maadili bado ni tatizo hapa janvini. Mtu huyu amekwisha tangulia mbele ya haki, hukumu yake ni yeye na Mungu wake sasa tunapokaa hapa na kujadili tena kwa kejeri as if hatutakufa ama tunajua vifo vyetu vitakuwaje hii inanishangaza sana.

Tunayoyajadili hapa kwa uficho, tukifunuliwa sasa tuyaseme wazi hakuna atakayethubutu kunyanyua mdomo wake. Jamani tuweni na ustaarabu wakati mwingine katika kudiscuss issues zenye sura ya uzuni/misiba.Familia yake,ndugu zake,marafiki zake na jamaa wanaposoma humu hivi wanajisikiaje katika kipindi hiki cha majonzi?. Tuache kuhukumu watu tena wafu!
Acha nidhamu ya uoga, we are discussing seriously.
 
Marehemu amekufa na janaba lake

Mkuu,kwa hiyo we ndio mtoa hukumu na haki kwa wanadamu? na ww una uhakika gani kwamba Mungu uliyomtendea kama binadamu kayakubali? acha utoto! mtu kafa ni mtu regardless mapungufu ambayo ww huna yakini nayo,usifurahie kifo kwa mwanadamu yoyote kwani hujui siku, muda wala saa!
 
Mi ningeomba kuuliza.Hayo Majinizano alikuwa yanahusu nini?,maana hao wauwaji kuna kitu walikuwa wana mmind kamanda na sio kumuibia,Kamanda alipotoa radio ndo kukawaka.
TATIZO KUBWA POLISI WETU WAMESAHAU MAJUKUMU YAO.WAO KAWA ASILIMIA KUBWA NDIO MAJAJI,SASA KAMA KUNA INSHU ALIISHILIA KIDEDEA,HICHO NDO KISASI CHAKE...
Alafu,Polisi jifunzeni MAMBO YA MITANDAO YA KIJAMI,Mtaelimishwa huku na muachane na kuendesha mambo kizamani,Mtakufa mtaisha,Shauri yenu...
 
Wamekuwa waaminifu kwa ccm,wanapiga,kujeruhi na kuua..leo kamanda liberatus kauawa halafu mwenyekiti wa chama chao kaondoka kwenda oman kupanda farasi,hata msiba hana habari nao,ndo wajue wanatetea chama cha wasio na huruma...akufaaye kwa dhiki ni rafiki wa kweli
 
Kuna tatizo kubwa hapa zaidi ya ninavyofikiri.Natambua matumizi ya lugha iliyopo hapa janvini ila bado nabaki na msimamo wangu kuwa si uungwana katika dunia ya ustaarabu ''kutoa lugha ya kejeri kwa wafu'' hii ni ishara ya kukata tamaa.

Tuwe waungwana, hakuna anayependa kufa na kama ikitokea basi ni mipango ya Mungu.Tunapo kaa hapa na kutumia lugha ya kuuzi eti kisa tu tumejificha nyuma ya key board basi tujue tuna kazi kubwa mbeleni. Wewe unaetaja msiba wa Mwangosi, umeisha changia nini familia yake?ama ni maneno matupu tena kwa mtu ambaye ahusiki na kifo chake.Hizi siasa za visasi zitaaribu familia zetu na kizazi kijacho.

Nashukuru kwa walionitusi kwani sasa ninaamani na kuamini kuwa ''sikio la kufa halisikii dawa''.Nimetambua pia ni watu wa aina gani wanapatikana hapa jamvini. Usiku mwema Wakubwa na Siungi hoja mkono.
 
Acha nidhamu ya uoga, we are discussing seriously.

You are not serious yet!Unless hujawahi kufiwa.Je! unajua kifo chako kitakuwaje? Kila mtu huwa na pungufu yake na pengine dhambi zako ulizotenda mpaka sasa ni zaidi ya huyu aliyefariki.Tusiweke itikadi za kisiasa kwenye issue nzito kama hizi tena za kusikia kila mtu na lake!
 
Back
Top Bottom